Wakuu: Nina swali kuhusu mita za LUKU. Zipo mita za kuweka ukutani na za kwenye nguzo. Nini tofauti yake? Na je mita za LUKU za ukutani zimesitishwa au zinafungwa bado majumbani kwa sasa?
Nashukuru kwa majibu maana hii inaonyesha mnajali.Na yamkini feasibility study imefanyika! Naomba kueleweshwa kama mteja ( Technically) Ni sababu zipi zinazopelekea umeme ukatike kwangu tu na sio kwa jirani zangu wa line moja na nguzo moja? Umeme unakuwaje mdogo kwangu tu?
Wilaya
Momba:
EneoTAZARA -TUNDUMA
Namba ya simu:
0684187248
Namba ya mita
24213768203
Tatizo: Umeme unakatika kila siku jioni unakaa kwa saa kadha ndipo urudi. Niko na watu wengine line hii na wengine nguzo moja lakini hawapati
tatizo hili. Nimeshaenda Tanesco mara nyingi maambiwa umeme ni...
Wakuu naomba mnisaidie nakuwa kama niko kisiwani. Hata humu ndani mafundi washacheki hakuna tatizo la kiufundi. Shida ni nini? Nishaenda zaidi ya mara tatu Tanesco wansema umeme mdogo. Naona ni assumptions maana mimi naona majirani unawaka!!
Why kwangu tu? Na hapa nipo gizani!!!
Mimi tatizo langu ni meter ya Luku, umeme unkata kwa masaa kila jioni kwangu tu au nyumba mbili lakini meter ziko tatu kwenye nguzo moja na huyo mmoja haujawahi katika. Kwa nini kwangu au kwetu tu. Kama umeme mdogo iwe nyumba mbili tu? Line hii kuna nyumba tatu za jirani umeme haukatiki. Ni...
Mhh!! Usifanye hivyo. Unahitaji ushauri na maombi. If you are willing please find me in this Whtaspp number for counseling. +260972565519
Sent from my GT-I8190 using JamiiForums mobile app
Kakobe kwa sasa hana chama ninavyojua. Ila hata Chadema wangekuwa madarakani au ikitokea wakachukua nchi hawezi kusifia tu. Siyo kazi aliyopewa na Mungu. Hivi kama sisi ni waungwana Kakobe anapata faida gani binafsi kwa hoja aliyotoa? Tunafikiri Kakobe ana njaa ya nile nini? Nivae nini? Nilale...
Nimewaambia clip hii ya zamani lakini wanaendelea tu kuchonga blindly. Hapo naonana wana bad intention sawa na aliyeiweka. Nijuavyo mimi kila jambo lina majira yake.
Watu wengine bwana. Kakobe katuma lini audio? Umetoa audio ya zamani maktaba unatudangaya ya sasa. Hii ya zamani hizo wala si ya utawala huu wa awamu ya tano. Usalama wa taifa wanaijua hutawadanganya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.