Recent content by MBURE JASHA

  1. MBURE JASHA

    Umoja wa walemavu Mwanza, wamsihi Muhongo kugombea urais

    Hamumpati Reginald Mengi kwa hizi swaga zenu na vitisho vya kishamba! Hii najua Mtunzi wake ameitunga kutokana na Mengi kuwafanyia walemavu sikukuu kila Mwaka! Sasa hapa mleta mada anataka kutuaminisha kuwa eti kundi la walemavu ambalo mengi analisaidia limegawanyika! hii ndio concept ya...
  2. MBURE JASHA

    Vijana Amkeni, CHADEMA haihujumiwi na CCM

    ambapo pia hizo asilimia ni nape kazipandisha! Mia nadhan zimeshuka zaid mpka sitin na moja kama sikosei
  3. MBURE JASHA

    Hivi wabunge wa CCM wanapokuwa Bungeni, hujadili hoja kwa kuelewa kinachojadiliwa au hupitisha tu?

    hii para ya pili kutoka mwisho ina mu extract mwigulu nchemba kuwa ndiye composer wa thread hii
  4. MBURE JASHA

    Askari wawili wauawa na majambazi Kongowe

    aaah nawamalizike tu maana we are tired na hil tawi la magamba
  5. MBURE JASHA

    Hii Ni Kwa Wazalendo Tu ( ACT)

    nadhani ungetoa majibu tu kuliko kurukia habari zilizochacha na ambazo hazina ukwel au zilipata majibu stahili! Ni vema kama wew ni act utoe majibu ili kukidhi takwa la uwaz wa chama chenu, kama ni mwanaccm jaribu kuwashawish wenzako haya matumiz makubwa wanayofanya wakumbuke kutunza nauli...
  6. MBURE JASHA

    Kinana yupo Moshi Mjini kwa ziara ya Kichama

    wewe ni M..ku. nd kweli ! Chadema hatufanyii mikutano vichochoroni au kuvizia sehemu zenye watu wengi tujipachike sie zetu Memorial kama ni mkutano mdogo wa kawaida level ya mwenyekiti wa Wilaya ngoma inapigwa Railway Njoro! ambapo ndipo mnapoenda kufanyia mkutano wenu Mkubwa Leo
  7. MBURE JASHA

    Kinana yupo Moshi Mjini kwa ziara ya Kichama

    picha imepigiwa stand hii na eneo hili hapa halikaukagi watu maana pia kuna kituo cha daladala za mbuyuni na Pasua! hata asipofika Kinana panakuwa crowded
  8. MBURE JASHA

    Ziara ya Kinana jimbo la Mwanga Mkoani Kilimanjaro

    Mkuu gublod Mtengeti kala ban!
  9. MBURE JASHA

    Ziara ya Kinana jimbo la Mwanga Mkoani Kilimanjaro

    Hamna kitu Mkuu ni yale yale yakusafirisha watu picha inajieleza Huyu Mwemba mweusi ni Diwani wa Kilomeni ndugu Mohamed Mgallah aliekuwa Mkuu wa Msafara wa watu kutoka Kilomeni na sio Mzee anayesikiliza Mkutano Huyo Mwingine pembeni yake ni Diwani wa Shighatin Enea Mrutu aliekuwa Mkuu...
  10. MBURE JASHA

    Kinana yupo Moshi Mjini kwa ziara ya Kichama

    Ki ukweli CCM mkoa wa Kilimanjaro ni balaa! very creative! wamempangia kinana Shughuli pale Stand wakijua kuwa pale kuna mjumuiko wa watu wengi sana! Wasindikizaji, Abiria na wapiga Debe! halafu kwenye taarifa zao wanajisifu kuwa walifanya mkutano mkubwa sana! Lkn Kumbekeni pia sio wote...
  11. MBURE JASHA

    Kinana yupo Moshi Mjini kwa ziara ya Kichama

    endelea kujifariji tu mchepuko wa watu! Au unadhani hatujui kuwa mabasi kutoka same, rombo, marangu yalikuwa yananshushia abiria mbwa haruki na watu kutoa uniform kwenye mabegi na kuvalia pale kwenye kituo cha mafuta mbwa haruki huku wale wa same na mwanga wakishushiwa pale kituo cha...
  12. MBURE JASHA

    Barua: Zitto akataa posho za vikao

    yote ni kumpamba ayatollah kabwe! Upambe una gharama kubwa sana!
  13. MBURE JASHA

    Gwajima vs Kova Chanzo ni Dr. Ulimboka

    mambo ya android haya mkuu
  14. MBURE JASHA

    Ubungo na Kawe kuwaka moto Oktoba

    duuh! Leo mingoi anaenda sawa na mdingi wa limumba! Kaz kwelikwel but the truth is you guys must be dreaming a daydream 12hours!
  15. MBURE JASHA

    Zitto aichokoza CHADEMA na kuwapa somo wanachama wake

    huyo ayatollah full sanaaa! Huo mpunga aliovuta utakata siku si nyingi
Back
Top Bottom