Kuna hili suala la kila nyumba za ibada za kishetani zinapewa jina la kanisa na sio msikiti?
Kitu gani kinawavuta kuita kanisa badala ya msikiti ili hali kanisa ni nyumba za ibada za wakristo kama ilivyo kwa waislam msikiti.
Je, kuna mwenye majibu kuhusu hilo?
Naomba kujua maana walituambia tuwe tunapitia PM mara kwa mara lakini nasikia tu tarehe ya kugawa tuzo kwa washindi ni 21 lakini washindi hawajulikani na mahali ambapo tuzo zitatolewa hapatangazwi. Mwenye ufahamu atuelezee na sisi tujue nini kinaendelea
Mamlaka zimewekwa na Mungu kama ilivyo katika amali zingine kama ardhi, madini n.k lakini vyote aliambiwa shetani avimiliki kwa lengo maalumu ambalo mungu alikusudidia. Ndio maana vitu vizuri vyote utavipita kwa njia mbili Mungu au Shetani isipokuwa uzima wa milele huo unapatikana kwa mungu...
Biblia Isaya 9: 6; Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani. "
Kwa kifupi Yesu ni Mungu na alikuja duniani kwa mfano wa binadamu na ndio...
Huu mfumo wa demokrasia uliopo Tanzania ni hatari sana kwa maendeleo ya nchi hatuwezi kuendelea kama mfumo huu utaendelea kubaki hivi vinginevyo ni lazima wananchi waviweke pembeni vyama vyao wadai haki kama raia na sio vyama. CCM wanasimamia kuwa mambo yoyote yakisemwa kupitia viongozi wa vyama...
Alifanya kitu kimoja kibaya sana, leo hii raia wanaamini midomo yao iko kwenye vyama jambo ambalo linapelekea wachache wanukuliwe badala ya umma. Watu wanapotea kwasababu ya kusimama na raia kama watetezi wao. Wafute vyama vingi ili raia wajue namna ya kuzungumza na serikali na sio kuonea wachache
Ahsante sana ndugu yangu, kama ni hivyo wasiwe waoga wasimamie wanachokiamini na wanachokitaka sio kuruhusu au kukubali mambo kimtego ili wanyanyase watu. Kama wanauwezo wa kutuongoza milele waamue moja tu kusiwe na vyama vingi mimi binafsi nitawaelewa kuliko hali ilivyo sasa. Kama ni mabadiliko...
Sasa kama suala ni kuogopa kunyimwa misaada si warudishe mfumo wa chama kimoja halafu wajenge uchumi wao kwa nchi yao kuliko kukubali mambo kishingoupande halafu wanaanza kunyanyasa watu na uhai wao? Wanakuwaje na jeuri ya kukandamiza haki za watu na wakati suala la kujenga uchumi imara...
Mfumo wa demokrasia hapa nchini ulianzishwa rasmi mwaka 1992 chini ya Rais Mwinyi akiwa ndiye mwenyekiti wa chama mapinduzi CCM, na ndio kilikuwa chama pekee cha siasa kabla ya hapo kutokana na mfumo wa siasa wa wakati huo.
Najua suala la maamuzi ya kuruhusu mfumo wa mabadiliko ya kisiasa...
Kwa wale wanaotumia simu za google pixel na mtandao wa voda kuna mtu simu yake inashika VoLTE? maana mimi natumia pixel 6 pro ina hiyo feature lakini sioni option ya kuiwasha. Au ni shida kwa watumiaji wote wa pixel?
Kama kuna mtu ana taarifa za uwepo wa kozi ya ukocha grassroot level katika mkoa wowote ule kwa siku za usoni hivi karibuni anipe taarifa tafadhari.
Ahsanteni sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.