Recent content by Mbunge Luswe

  1. Mbunge Luswe

    Milala secondary ya sasa

    Kuanzia Lyazumbi to Sumbawanga tayari lkn Mpanda to Lyazumbi kuputia lyamba bado
  2. Mbunge Luswe

    Milala secondary ya sasa

    Hapo chachaaaa
  3. Mbunge Luswe

    Milala secondary ya sasa

    Haieleweki mno, hata walimu mishahara hawalipwi
  4. Mbunge Luswe

    Milala secondary ya sasa

    Ni shida sana, mpaka sasa wana form one 1 Wanafunzi wamepungua mno.
  5. Mbunge Luswe

    Milala secondary ya sasa

    Ipo Katavi Mkuu
  6. Mbunge Luswe

    Milala secondary ya sasa

    Kupata watumishi wa viwanda watatoka Mbiguni? Siyo shuleni? [emoji87][emoji87][emoji16][emoji16]
  7. Mbunge Luswe

    Milala secondary ya sasa

    Salamu wakuu. Serikali na Chama hakiangalii shule ya secondary milala? Mbona imepoteza hadhi kabisa.
  8. Mbunge Luswe

    The Bible Fraud & Secret in the bible...!!!

    Mkuu naomba unipe njia ya kukipata kitabu hicho
  9. Mbunge Luswe

    Open university of Tanzania

    Eti watamu, hahaaaaa
  10. Mbunge Luswe

    Unataka kuacha Kazi?

    Nafsi yako iamue kweli mkuu
  11. Mbunge Luswe

    Ni namna ipi nzuri ya kutoa fungu la kumi?

    Hata agano jipya limezungumzia, fungu la kumi
  12. Mbunge Luswe

    Siri ya siku ya kuzaliwa na kulaaniwa

    Changia tuuuuu Mkuu, hahaaa haaaahaa
  13. Mbunge Luswe

    Siri ya siku ya kuzaliwa na kulaaniwa

    Bora, anakaa sayari ipi asijue Biblia?
  14. Mbunge Luswe

    Siri ya siku ya kuzaliwa na kulaaniwa

    Salaam Wana Jukwaa. Niende moja kwa moja kwenye Mada, pengine inaweza toa tafsiri tofauti na ninacho maanisha. Ni hivi, Kuna Siri gani siku au tarehe ya mtu kuzaliwa na ilaaniwe. Soma Biblia kitabu cha Yeremia na Ayubu. Wote hawa walisema " Na ilaaniwe siku niliyozaliwa" naomba kujua Siri hii...
Back
Top Bottom