Hivi kutoka lyamba hadi stalike lami inashindikana? Maana pans shida sana masika.Kuanzia Lyazumbi to Sumbawanga tayari lkn Mpanda to Lyazumbi kuputia lyamba bado
Ukisikia uchumi WA nchi umekuwa Sana Sana,ila maisha yanazd kuwa magumu..Mkoa wetu haujasahaulika na sasa ndio kwanza unakuwa kwa kasi.!
Itapendeza pia ukiweka photo ya hiyo shule mkuu.Salamu wakuu.
Serikali na Chama hakiangalii shule ya secondary milala?
Mbona imepoteza hadhi kabisa.