Recent content by Mbuli yaza

  1. M

    JamiiForums Tanzania Miaka 4 ya Samia,Tanzania yaongoza kwa Kuzalisha mabilionea wengi Afrika Mashariki

    wametambulisha bilionea mmoja tu hapa tz.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa: Hakuna uvamizi uliofanyika katika Ofisi za JamiiForums

    kwamba max Mello hawajui maofisa wa serikali? msigwa acha mzaha.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Polepole amefanya nimwelewe Magufuli

    hampendi haki,ukabila kivipi?,ukanda Kwa maana gani,mwizi ukimzuia kuiba lzm atakuona hufai,ndiyo maana tuliona maajabu wakati wake hatujawahi ona.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Humphrey ahukumiwe kifo in absentia

    Etiii
  5. M

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Siku napigwa risasi Paul Makonda alikuwa Dodoma

    kweli inasikitisha sana lkn Kwa kuwa Lisu alijeruhiwa sana lzm Kuna watu walitaka kumuua, kama taarifa hii ni ya uongo basi tupe habari za kweli.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Tetesi: 2030 Rais ni Nchimbi na Waziri Mkuu ni Ridhiwani

    kwenye hicho kikao Chao huenda MUNGU ni mjumbe!
  7. M

    JamiiForums Tanzania Magari mawili tofauti yanakuwa je na plate number hiyo hiyo? Mkisikia mwenye nyumba hayupo, muwe mnaelewa!

    wanaharibu halafu wanamsingizia marehemu,nchi Ina kufa.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Mungu anasema mamlaka zote zinatoka kwake anatuasa tuzitii na kuziheshimu. Kupitia hili TZ tuna watumishi wa Mungu wachache sana, wengi ni matapeli

    anahimiza kutii mamlaka anasahau Hila zinazotumika kupata madaraka.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Inawezakana kuurudisha upendo wa miaka ya Nyerere?

    hiyo siyo sababu,miaka mingi imepita, viongozi ndio tatizo la nchi hii.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Eti yule askari aliyemsukuma Lissu pale kizimbani alishayaaga mashindano

    ardhi ya kutosha ipo.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Katoliki imesimamia nchi. Wapewe maua yao

    Kuna siyo masista lkn hawana watoto hapo unafanyaje?
  12. M

    JamiiForums Tanzania Mzee Kikwete: Mzigo wa Ujenzi wa SGR Umebebwa na Rais Samia

    mswahili zaidi ujinga na maneno ya dharau mnaweza Nini?
  13. M

    JamiiForums Tanzania Dk Muchunguzi: Mwaka 2020 Polepole alisimamia mgombea mmoja CCM, waliotaka kugombea walifukuzwa

    hapo ndipo madokta wetu wanafeli kwamba asiseme Leo kwa kuwa Jana hakusema daktari muchunguzi unaona sawa hiyo?.
Back
Top Bottom