Recent content by MBULAMATALI

  1. MBULAMATALI

    JWTZ: Jeshi letu ni kati ya Majeshi 6 Bora duniani

    Ww nae ni kilaza nambari one!....Ukrein hapo anafanya nn???...yaani ule ubishi wako wa uzi wa kulee unatembea nao kila sehemu...,.. Russia anapambana na NATO huku kafungwa pingu za miguu na mikono pamoja na kitambaa machoni ilà bado yupo na anadunda....ww unamuona ni mdogo kwa Ukrein...yaani...
  2. MBULAMATALI

    Omar Bongo, Paul Biya na Teodoro Obiang wote ni wa kabila moja japo ni marais wa nchi tofauti

    Zimbambwe kuna tatizo gani tena..?...si juzi tu walimtoa Mugabe...?...pale shida ni Mnangagwa au ni vikwazo walivyowekewa na wazungu baada ya kuwapora Ardhi Waingereza...?... pale hata wakija Wanajeshi au Wapinzani...ni kipi zaidi watakifanya kwa hali ilivyo pale?? Sent from my SM-A217F using...
  3. MBULAMATALI

    Kamanda wa Ukraine apongeza mafanikio kusini asema njia ni nyeupe

    This is rubbish!!! Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
  4. MBULAMATALI

    Yajue Mapinduzi ya Niger kwa upana zaidi

    Hao West wameshawahi kutupa Tech ipi..??...zaidi ya dawa za kufubaza virusi vya HIV na CONDOM wakati hiyo HIV wameitengeneza wenyewe na kutuletea ss...hv Waafrica mkoje nyie...hv anaekupatia mbolea ukalime ujikomboe na njaa....Silaha na maarifa ya kujilinda dhidi ya West wanaokesha wakituibia...
  5. MBULAMATALI

    Yajue Mapinduzi ya Niger kwa upana zaidi

    siku moja moja uwe unatumia akili ww!!!...yaani ww kila linalosemwa jema kuhusu Russia ni lazima utafute kitu cha kupinga...mtoa mada kaelezea vzr sana...inayotafutwa ni new route ya kuutoa mzigo Russia-St Petersburg...na kuufikisha popote pale duniani kwa Wahitaji....hiyo SAHEL ROUTE mpya...
  6. MBULAMATALI

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Kwa akili hz za kizwazwa za kijana kama ww tutegemee kuwa na Taifa la hovyo sana hapo baadae!!! Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
  7. MBULAMATALI

    ECOWAS yatishia kuingilia kijeshi kama Kiongozi wa Mapinduzi wa Niger atakaidi kurudisha Serikali ya Kiraia

    Uwezo unaangalia nn?? Vifaa vya Kijeshi??....mimi kwa hili ntakupinga...sidhani kama kuna Jeshi lililojaa urasimu kama hili...hapo kuna Rushwa...Ubaguzi wa kidini...Ubaguzi wa kimaeneo....na ndio sababu Jeshi kubwa lakini hawawawezi Boko Haram... Jeshi linapanga kushambulia eneo fulani kunatokea...
  8. MBULAMATALI

    Viongozi wa Kijeshi Burkina Faso na Mali: "Mkiigusa Niger tu mmetangaza Vita ya Ukanda"

    Acha kujifanya unajua sana kumbe ni bure kabisa kichwani..???...hao Wagner unaowaona wa kawaida ndio waliowasimamisha WEST hapo Ukrein....hv unafikiri ile Battle ya Bakhmut unaweza kuifananisha na vita ipi ambayo NATO amewahi kupigana..???....unadhani Ukrein kapoteza Brigedia ngapi pale...
  9. MBULAMATALI

    Viongozi wa Kijeshi Burkina Faso na Mali: "Mkiigusa Niger tu mmetangaza Vita ya Ukanda"

    Vyovyote vile acha wabadilishe mkoloni..!...France ameshasomeka ni mwizi na hakuna lolote alilowafanyia...hapo Niger kati ya watu 5 watatu ni masikini wakutupwa wanaoishi hohe hahe kabisa...na France yuko hapo anaiba tu.... Russia atabalance mambo hawez fanya kama France... sababu nae watamchoka...
  10. MBULAMATALI

    Viongozi wa Kijeshi Burkina Faso na Mali: "Mkiigusa Niger tu mmetangaza Vita ya Ukanda"

    ni hilo bomba la Gesi/Oil na second ni hiyo Uranium....kwa Africa unapoona mapinduzi kama hayo usizan hakuna hakuna Taifa kubwa la nje lililohusika....hapo ni Mrusi ndio anacheza hilo CHESS....halafu hapo inawezekana mlengwa ni France kwa kiherehere chake kule Ukrein.... Russia akiamua hapo...
  11. MBULAMATALI

    Viongozi wa Kijeshi Burkina Faso na Mali: "Mkiigusa Niger tu mmetangaza Vita ya Ukanda"

    Watafanya nn? hao France hapo Niger....hapo ndio basi tena kwao...Russia ana mkono hapo....kuruhusu bomba la gesi/mafuta kutoka Nigeria kupitia Niger to Europe ni suicide mission kwa Uchumi wa Urusi vile vile...ukisikia FSB/KGB ni watu hatari sana kwa mipango chini ya PUTIN ndio muwe...
  12. MBULAMATALI

    Korea Kusini nchi yenye hifadhi kubwa ya silaha duniani wakataa kutoa silaha zaidi kwa Ukraine

    kwa mchango wako huu...ww ndio huna hzo akili..!!! Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
  13. MBULAMATALI

    Korea Kusini nchi yenye hifadhi kubwa ya silaha duniani wakataa kutoa silaha zaidi kwa Ukraine

    Kuna baadhi ya Vijana ni wa hovyo aisee...!! Mungu lisaidie Taifa letu...hapo utakuta na akili hz uko ofisini fulani kama mtoa maamuzi na kuna watu wanakuita Boss! Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
  14. MBULAMATALI

    Jinsi Putin alivyoifanya Urusi kuwa kubwa tena

    umemaliza hata darasa la 7??? mbona uchambuzi wako wa hoja ni kiwango cha chini sana...??... Unadhani ni Vita ipi alioipigana USA hata inakaribiana tu na mtiti wa Ukrein vs. Russia..??? Iraq alikuwa na Silaha gani za kuichalenge USA na kundi la nchi zote zile walioenda kumchangia...???..hebu...
  15. MBULAMATALI

    Rais Samia atengua Uteuzi wa Wakuu wa Wilaya za Temeke na Kilindi

    Hawa wakuu wa Wilaya za Kilindi na Temeke wamekosea wapi tena ..si teuzi za juzi tu hapa...??? Halafu huyu Mobhare si tuliambiwa humu na wajuvi wa nchi hii kwamba ni moja ya Senior Officers na wenye nafasi pana pale kwa Mtakatifu 'Peter'...nae kaunguza nn ... hadi kupelekwa kuwa Mkuu wa Wilaya...
Back
Top Bottom