Recent content by MBui

  1. M

    Uhujumu Uchumi: Yusuf Manji asomewa mashtaka kitandani... Anyimwa dhamana!

    Ulio wataja ndugu awawezi kutoroka kamwe maana fatiliwa nyendo zao kuliko kawaida na siku mmoja wao akijaribu utasikia ametiwa nguvuni.
  2. M

    Mkuu wa Majeshi na Ulinzi (JWTZ) kwenda Wilaya ya Kibiti Leo

    Wale wauaji wako makini ujio wa jamaa wanaweza wakakausha alafu kitu kingine director wao anaweza akawa yupo ndan ya vyombo vya usalama uwapa taarifa ya mipango yote ya kufanikisha kukamatwa kwao.
  3. M

    Sakata la Mchanga wa Madini: Mwanasheria wa ACACIA yuko London kufungua kesi

    Ebu nieleweshe kidogo mbona waliweza badili sheria ya bodi ya mikopo kutoka asilimia 8 mpaka 15.
  4. M

    Rais Magufuli apigilia msumari jeneza la wauza Dawa za Kulevya, asema si kazi ya Makonda pekee

    Hahahah usiogope kama ni wahusika kwann waachwe?
  5. M

    TCRA: JamiiForums haifuati masharti kama mitandao mingine, mitandao isiyofuata masharti tutaifungia

    Naona ile inshu ya wale Maiti saba ndio inapotezwa kwa Kiki za jamiiforum maana jamaa walikaliwa kooni. Subir Upepo mbaya upite max anaachiwa. Iyo ni ndoto yangu
  6. M

    Hakika ninamsubiri Dr. Slaa akifika Mbeya nahama CCM

    Aina aja ya kumsubiri Dr slaa wakati na yeye ana kadi ya CCM kama wewe.
  7. M

    Pinda awaagiza UKAWA kurudi bunge la katiba: Asema sio OMBI

    Nami nakutuma tena kama ulivyo tumwa kamwambie Mboe atoe ushahidi wake wa bomu kule arusha autoe kabla Ajang'oka kwenye uwenyekiti mkuu
  8. M

    Polisi & CCM na hila za ugaidi CHADEMA: Wakamata house boys na girl wa Lwakatare usiku...

    Leo unataka warranty ya mahakama subir waje kwako mzee wa sumu utajua
  9. M

    Kashifa nzito yamkumba Slaa huko Geita

    Sawa shemeji wa josephine.
  10. M

    Mjumbe wa Baraza Kuu CUF ajiuzulu; Awatuhumu viongozi wake ( UKAWA Effect)

    Upo mzee wa sumu? Hizo pesa amepewa na boss wako josphine
  11. M

    Matokeo ya Uchaguzi wa Udiwani Feb 09, 2014: CCM yaibuka kidedea!

    :flypig::flypig:hahahahaha BEN uko wapi mzee wa sumu
  12. M

    Tundu Lissu Anaingizwa kwenye Walakini

    Nimekuelewa mzee wa sumu
Back
Top Bottom