Wale wauaji wako makini ujio wa jamaa wanaweza wakakausha alafu kitu kingine director wao anaweza akawa yupo ndan ya vyombo vya usalama uwapa taarifa ya mipango yote ya kufanikisha kukamatwa kwao.
Naona ile inshu ya wale Maiti saba ndio inapotezwa kwa Kiki za jamiiforum maana jamaa walikaliwa kooni. Subir Upepo mbaya upite max anaachiwa. Iyo ni ndoto yangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.