Recent content by Mbuhe

  1. M

    Nahitaji Matofali zaidi ya 10,000

    Inch 5- 1050, Inch 6-1100. Phone no. 0655009153. Napatikana Goba.
  2. M

    Shiriki shindano la #ChinaMade kujishindia simu ya Huawei au Xiaomi Arm Band

    #ChinaMade. Kwanza nitoe shukrani zangu zisizo na chembe ya unafiki kwa China Radio International kwa kushirikiana na Jamii Media kwa kutuletea shindano hizi. Katika maisha yangu hadi Hapa nilipo nashukuru Mungu nimefika Hapa nilipo kutokana na bidhaa mbalimbali kutoka nchini Nchini China...
  3. M

    TAKUKURU imtafute na alietoa rushwa kwa trafiki aliefukuzwa

    Hv ushawahi kujiuliza askari wa Jeshi la magereza analipwa shilingi ngapi? ushaona makazi Yao? Na vp ushasikia wamechukua rushwa? Kuchukua rushwa ni tabla ya mtu. Tusishabikie wala rushwa kwa kuhusisha na udogo wa mishaara wanayolipwa.
  4. M

    Walio itwa kwenye usaili wa Uhamiaji.,

    nichekie Selestine Mbuhe
  5. M

    Kamanda Kamuhunda awageuka wakubwa...

    Hiyo ni kweli kabisa kaka. Kwani nakumbuka nikiwa nipo shule, nilienda kumtembelea shangazi yangu aliekuwa anaishi pale karibu na shule.Nikawa nimelala mimi na mwanae na Shangazi yangu, usiku jamaa akaondoka nikawa niko pekee yangu pale ndani. Kumbe jamaa alikuwa na msala kwa hiyo polisi wakaja...
  6. M

    Mwigulu Nchemba: Jeshi limeapa na kuahidi mbele ya chama (CCM) kukilinda mpaka kufa!

    kama ndio hivyo hii nchi inakoelekea kubaya sana.
  7. M

    Maoni yangu dhidi ya "Baadhi ya wananchi wahuni" wa Arusha kujaribu kuzuia wanahabari wa TBC

    inavyoonekana umepost mada ukiwa chooni. Maana hamna jipya uliloandika na hao TBC ni pro ccm wasingeripoti yale ambayo Godbless Lema kazungumzia kuhusu Ikulu. Ni haki yao wana Arusha kuwazuia kufanya hivyo.
  8. M

    Maoni yangu dhidi ya "Baadhi ya wananchi wahuni" wa Arusha kujaribu kuzuia wanahabari wa TBC

    unavyomuita mwenzio muhuni wewe tukuite nani? mbona ccm wamepiga wabunge wa cdm hamjawaita wahuni waliofanya kile kitendo? wewe magamba pure.
Back
Top Bottom