Kiukwel Gamondi must go maana mbinu zake zishachuja na Hana mbadala wapinzani washamsoma muda Mrefu....
Matokeo yake ya mbinu zake kuwa hafifu tunauwona sasa ushindi mwembamba katika mechi za Yanga hadi kufikia sasa anapoteza mechi mbili mfululizo tena hii Tabora Kwa idadi kubwa ya magoli
Wakuu habari za saa hizi,
Nina Mtoto Mwenye umri wa miaka 4 ghafla tu amepoteza uwezo wa kutembea alianza kuugua homa then nikampeleka katika kitua cha afya akapewa dawa na kupona lakini baada ya siku tatu alianza kushindwa kusimama na kushindwa kutembea.
Nilimpeleka tena Hosptal kwa vipimo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.