Recent content by mbuchii

  1. M

    Nimuache au nimsubiri

    mkuu miaka 30 na binti 25....kazi nzuri na kipato kizuri tu kwa kufanyia fujo kitaa...haya mwaga ushauri wako sasa....
  2. M

    Nimuache au nimsubiri

    ndo hivyoo mkuu...jaribu kunielewa tu mkuu
  3. M

    Nimuache au nimsubiri

    pouwa mkuu..next time ntajitahidii
  4. M

    Nimuache au nimsubiri

    hahahahaha...we ni noma mkuu...
  5. M

    Nimuache au nimsubiri

    sijakuelewa mkuu!
  6. M

    Nimuache au nimsubiri

    upi mkuu? kusubili au kuachaa?
  7. M

    Nimuache au nimsubiri

    dah..mkuu ndo maana kuna forums kama hizi tunasaidiana mawazo...pamoja sana!
  8. M

    Nimuache au nimsubiri

    kufaa siwezi mkuu....
  9. M

    Nimuache au nimsubiri

    kiaje mkuu? fafanua please!
  10. M

    Nimuache au nimsubiri

    vyote vinawezekana mkuu
  11. M

    Nimuache au nimsubiri

    inatokea kisahau tu...
  12. M

    Nimuache au nimsubiri

    Hi! Nimekuwa na mahusiano na huyu binti kwa mwaka na miezi nane sasa..To be honest nampenda sana...miezi mitatu iliyopita tulitokea kutokuelewana kati yangu na yeye baada ya yey kukuta sms nilizokuwa nachart na binti mwingine...tulikaa chini tukasolve,nikaomba msamaha ni kama everything become...
Back
Top Bottom