Recent content by Mbotela

  1. M

    Magufuli apigilia msumari kwa mafisadi

    Mafisadi yuko nao, wanampigia kampeni na anaahidi hatawaangusha. Kwahiyo, I don't expect to see changes through CCM
  2. M

    NEC: Uchunguzi vifaa vya BVR vilivyokamatwa Dar es Salaam, Nipashe waombe radhi

    Hiyo siyo taarifa halali. NEC wana nembo yao mbona haionekani katika chapisho lako?
  3. M

    Ziara ya Magufuli jimbo la Vunjo: Lyatonga Mrema aungana na CCM kwenye kampeni

    Chama chake kinastahili kufutwa kutokana na kuonekana kuwa ni tawi la CCM
  4. M

    Vituo hewa 20,000 vingempa Magufuli kura 9,000,000

    Taarifa hizi zingekuwa ni sahihi machafuko yangeanza mara 1. I don't think that NEC is responsible for this.
  5. M

    Vituo hewa 20,000 vingempa Magufuli kura 9,000,000

    Duh jamani mkidakwa mtatoa ushaidi. Tuwe makini
  6. M

    Hii ndio hali halisi ya mikutano ya UKAWA kwa sasa majimboni

    Safi sana. Mleta uzi anahisi wote akili zetu hazina uwezo nzuri kama zake
  7. M

    Magufuli 4 Change (M4C), nimeipenda sana hii

    Cha kuiga hakipendezi.
  8. M

    Hatimaye Magufuli adhibitiwa na CCM

    Mnachekesha sana watu wengine. Wenzenu wanampaka matope Lowassa kuwa mdini. Halafu wengine mnajichanganya tena miongoni mwenu,mnasema Lowassa hana dini. Sasa tumkibali nani?
  9. M

    Mkapa: Kumbe alisema kweli

    Kingunge amejiondoa rasmi leo kwenye chama chake CCM na anaunga mkono mabadiliko
  10. M

    Utafiti wa blog ya Vijimambo, Lowassa angoza

    Kuna wasiojua kusoma na kuandika ambao ndy tegemeo kuu la ccm hawakuhusika kwenye upigaji kura
  11. M

    Utafiti wa blog ya Vijimambo, Lowassa angoza

    Kuna wasiojua kusoma na kuandika ambao ndy tegemeo kuu la ccm hawakuhusika kwenye utafiti
Back
Top Bottom