Recent content by mbonisofi

  1. M

    Baada ya matokeo na CCM kuangukia pua mwanachama wa CCM afariki dunia

    Siasa ni siasa ila tusifanye utani kwenye mambo ya mauti mkafananisha na siasa,tutakuwa tunamkosea mungu.
  2. M

    Nini maana ya kulala chini unapofiwa?

    Haina maana ni kwakuwa nyumba inakuwa na wageni wengi mkilala vitandani hamtoshi
  3. M

    Chagua mtu sio chama

    Hakuna sababu za kubishana kila mtu afanye maamuzi anayohisi ni sahihi kwake.
  4. M

    Mh. John Magufuli aiteka Tukuyu na Rungwe

    Duh!maajabu,mbona kama mnahoma ya chuki na ccm,picha za ukawa ni ukweli za ccm zinatengenezwa,hakika kukosa kazi ni kuzuri sana
  5. M

    Wawili kizimbani kwa kuchana bendera ya CCM Mbeya

    Hakuna mgombea asiye nadiwa,mbona hata nyie mnamnadi lowasa,utafanyaje kampeni bila kumnadi mgombea?akili za kuambiwa ongeza na zako
  6. M

    Mh. John Magufuli akipokea Malundo ya Kadi za CHADEMA baada ya kuisambaratisha UKAWA

    Chadema wakipokea kadi za ccm,ni sawa hazijanunuliwa,ila ccm wakipokea kadi wamenunua tumieni akili rahisi,acheni maneno
Back
Top Bottom