Hicho chombo si cha habari, ni cha propaganda.
Ni waongo bila aibu kupindukia, hasa linapokuja swala la dini fulani na Taifa lile la Yakobo.
Bora ofisi zao zimebamizwa.
Hii inchi inastaajabisha kwa jinsi ilivyo na watu wenye uelewa finyu.
Nawe johnthebaptist una kazi kubwa sana ya kuwaelezea mazwazwa ufafanuzi mbalimbali.
Hongera kwa kazi hiyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.