Kwa hii lugha jamaa zangu wa buku tano huwaoni hapa hata kidogo. Teh teh teh. Tukisema mfumo umeoza huu ni ushahidi tosha sana iweje mtuy kwa kosa dogo eti la lugha mbaya kunyimwa dhamana? Je ingekuwa ni kosa la jinai ndio ingekuaje? Ukiona injini inabadilishwa oil ujue gazi zima hilo, ila...
Hakuna sheria ya kukataza kuzomea wewe hivi nyie mko nchi gani? Kwani mara ngapi vyama vya upinzani vimezomewa hata bungeni mbona huyo nanihi wenu hakusema neno? na bado mengi yanakuja
Asiishie hapo tu kwenye siasa awe anakuja na askari wake mpaka mpirani kwenye mechi za simba na yanga au azam ambapo washabiki wa timu nyingine wakizomea au kubeza mashabiki wa timu nyingine aje awakamate. Kweli huku ni kukosa kazi sasa teh teh teh
https://www.youtube.com/watch?t=80&v=6YKRs2dTgZw
TELEVISHENI YETU YAANI NA BADO MNAZIKIMBIA HIZO HABARI LAKINI WAPI SASA NAWASHAURI ANZENI KUSOMA HABARI ZA MICHEZO TU ZINATOSHA. TEH TEH TEH
Uko sahihi sana ndugu. Uppuzi huu unaona hapa bongo tu. Kwa kuwa misafara mingine ni minene sana kuliko ile ya kwetu hivyo basi njia bora ni kuzuia maandamano. Hii haikubaliki kabisa. Wote tukatae.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.