Daah nimepambanaa kwa jasho na dam nimejenga..ile namalizia kuweka geti tu mke ananipeleka bakwata et tuachane tugawane nyumba daah...na hawa watoto wetu wawili tuwafanyaje?..kumbe alikua kwa maslahi tu sio mapenz
Uwez kuuza wakat ata uzoefu wa biashala huna ni heli upambane upate mtaji kidogo sana uanze biashala yoyote ukipata mwanga wa biashala kubwa ndo uanze kufikili iyo amana itakusaidia vp ukakope bank au uuze
Iyo ndo amana yako.tafuta mtaji kidogo fanya biashala ukipata uzoefu wa biashala kachukue mkopo mdogo utakaomudu kuulipa bila shida.endeleza nyumba yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.