Recent content by Mbonde Ally

  1. M

    Anayefanya kazi Maktaba ya Muziki TBC 1 achunguzwe

    Ata safari chenel nao ni wale wale mwaka wa tatu huu makala ni zile zile
  2. M

    Naomba kuelekezwa lodge ambayo naweza kulala maeneo ya Manzese

    Manzese kwa bei iyo unapata hoteli kabisa sio logde
  3. M

    Kutoka Kijiweni Unguja: Shosti wetu ni mtoto wa mstaafu kumbe

    Ulichoficha hakuna kama wana uwezo kuongoza acha waongoze
  4. M

    Katika umri gani ulifanikisha lengo la kujenga nyumba yako?

    Daah nimepambanaa kwa jasho na dam nimejenga..ile namalizia kuweka geti tu mke ananipeleka bakwata et tuachane tugawane nyumba daah...na hawa watoto wetu wawili tuwafanyaje?..kumbe alikua kwa maslahi tu sio mapenz
  5. M

    Kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa. Najuta

    Daah tuko weng wenye hasara iyo
  6. M

    Wito wangu kwa Wanawake: Achaneni kabisa na usafiri wa bodaboda, sio salama kwenu

    Kutokupanda haiwezekani sema tu wachukue tahadhali zote kuepuka ajali za kizembe
  7. M

    Nilivyoshindwa kizembe kusoma udaktari

    Kenge..Hahah atavanila ufai kulima kalime mifagio
  8. M

    Ushauri: Nimejenga nyumba lakini kabla haijaisha nikafukuzwa kazi

    Uwez kuuza wakat ata uzoefu wa biashala huna ni heli upambane upate mtaji kidogo sana uanze biashala yoyote ukipata mwanga wa biashala kubwa ndo uanze kufikili iyo amana itakusaidia vp ukakope bank au uuze
  9. M

    Ushauri: Nimejenga nyumba lakini kabla haijaisha nikafukuzwa kazi

    Iyo ndo amana yako.tafuta mtaji kidogo fanya biashala ukipata uzoefu wa biashala kachukue mkopo mdogo utakaomudu kuulipa bila shida.endeleza nyumba yako
  10. M

    Nilivyoishi miaka mitatu ndani ya mwaka mmoja

    Kichwa cha habari kinasomeka vizuri.ndani lugha ya kipuuzi imejaa.
  11. M

    Safari ya Bagamoyo kwa mganga ili nipate kazi

    Usikute wewe ndo mganga mwenyewe
  12. M

    Hakika Tanzania iko Dunia ya Tatu

    Kama atujawahi kumiliki ndege tangu huru.ni haki yetu kufrah kwetu si jambo dogo.sawa bhana.kwaiyo tuache kidogo fanya shughuli zako.
  13. M

    Kwanini sanduku la sadaka kanisani linafungwa kufuli?

    Hahah.hatari sana..kumbee!!ndomana walitoa walaka wa malalamiko.masanduku hayajai sikuiz
Back
Top Bottom