Recent content by Mbomozo

  1. Mbomozo

    Siri: Njia rahisi ya kupata mganga wa kweli

    Hii kity watu wengi wanaoipinga ni watumiaji wazuri na waganga ambao sio matapeli wanawajua sema wanatuchezea shere tu. Hii itikadi imekuwa kama wanaonunua malaya at the sametime wanawaponda kishenz wakati wakiwa na ngenye wanaomba kupunguziwa bei🤣🤣🤣🤣🤣 ninachoweza kuamini ni kwamba kila familia...
  2. Mbomozo

    Usaili TPA

    Kaa kwa kutulia wanafanya wengine kwa sasa muda ukifika utaitwa… Maana ni nyomi la watu wengi na linahitaji man power
  3. Mbomozo

    Orodha ya Taasisi za Umma na Binafsi zenye 'njaa kali'

    Babu waalimu wote mko Tamisemi AkA Halmashauri za wilaya 🤣🤣🤣🤣 Au hujaona list ya Mwamba
  4. Mbomozo

    TPASS1, TPASS2, TPASS3, TPASS4

    ukipata kazi utajua kiwango cha mshahara Kijana acha kuwa na Libona utajiharibia
  5. Mbomozo

    Tutorial Assistant in Accounting - Msaada Mwenye uelewa na maswali yanavyoulizwa kwenye Written & Oral interview

    Nikupe tu ushauri interview za tutorial assistant hazina formula maake job description iko wapi sana ila jiandae kwa kusoma vyote kuanzia module ya kwanza mpaka ya mwisho uliozosoma chuo. Halafu jiandae na presentation andaa topic yako moja kwenye mfumo wa ppt then utapresent kwenye oral na...
  6. Mbomozo

    KERO Msaada, napata changamoto kubadilisha taarifa ajira portal

    Navigate mpaka ufike hapo then edit ubadilishe ulichosomea
  7. Mbomozo

    Vipipi kifua, Colgate na Asali mpaka sasa ndio viungo vya ukweli kwa shoo za kibabe zinazoacha legacy kwenye mapenzi

    Hii kitu ya vipipi nimekutana nayo Jana kwenye ufundi wa limama lenye kiuno 62 Dah Nimelambwa na kipipi kwenye dushe sijawahi kumwaga bao 3 Ndani ya lisaa Mmmh nimeshangaa kinyama nikaanza kujidharau au nimeishiwa mbomozo mimi 😆😆 Ila nimeamini hivi vinafanya kazi kweli ukiweka ndani bao hilooo 😂
  8. Mbomozo

    Naombeni Ushauri, upendo wangu kwa mke wangu unashuka

    Kwa uzoefu wangu wewe kilombi wa Keke sana na upuyanga kwenye vipochi manyoya vya aina mbali mbali ila na pia nikushauri na nikupe tiba ya tatizo. Kwenye wanawake wote ulionao kuna mmoja sio mwema hata kidgo yeye anataka kukumiliki na uitelekeze familia KAA chonjo kama mtu mzima umenielewa...
  9. Mbomozo

    Tunataka kurudiana ila tunategemeana, nipeni mbinu

    Hii sms aisome vyema hamnaga kurudiana utatombewa mpaka utalia machozi ya damu
  10. Mbomozo

    Simba 1-1 RS Berkane| Agg: Simba 1-3 RS Berkane | RS Berkane Bingwa CAFCC 2024/205

    Uliangalia mpira Kaka au unafuatilia mtandaoni tu
  11. Mbomozo

    Online writen interview za Utumishi wanatoa vipi maksi?

    Aptitude test zote online zinasahihishwa na mfumo moja kwa moja na kabla hata hawatoka marks zako unaziona pale pale so unaweza kuwa na swali 20 @ 5 marks au swali 25 @ 4Marks each na mifumo mingine ukijibu swali ukasema Next huwez kurudi nyuma kamwe🙏🙏
Back
Top Bottom