Recent content by MBOMBWE

  1. M

    English learning for all beginners

    Naja naja, I have problem on how to use articles"a" and "the".. May you help me on these items? Sent using Jamii Forums mobile app
  2. M

    Msaada..naipataje Movie ya ROOTS 1977(kunta kinte)

    Mkuu huwezi iweka kwenye link ili niipakue? Sent using Jamii Forums mobile app
  3. M

    Msaada..naipataje Movie ya ROOTS 1977(kunta kinte)

    Mkuu siwez pata yenye Mb 300 hiv maana hzo Gb mkuu so mchezo Sent using Jamii Forums mobile app
  4. M

    Msaada..naipataje Movie ya ROOTS 1977(kunta kinte)

    Huko pia ilisha ondolewa Sent using Jamii Forums mobile app
  5. M

    Msaada..naipataje Movie ya ROOTS 1977(kunta kinte)

    Humu nimeikosa mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  6. M

    Msaada..naipataje Movie ya ROOTS 1977(kunta kinte)

    Unamaanisha kwenye simu ama laptop mkuu? Sent using Jamii Forums mobile app
  7. M

    Msaada..naipataje Movie ya ROOTS 1977(kunta kinte)

    Naweza tumia njia gani kuipata hyo mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  8. M

    Msaada..naipataje Movie ya ROOTS 1977(kunta kinte)

    Asante mkuu kwa msaada Sent using Jamii Forums mobile app
  9. M

    Msaada..naipataje Movie ya ROOTS 1977(kunta kinte)

    Wanajamvi habar Naomba msaada namna ninavyoweza ipata filamu ya ROOTS 1977,ama maarufu kama "kunta kinte" maana juhudi zangu na maarifa yamegonga mwamba.... Sent using Jamii Forums mobile app
  10. M

    Natafuta kitabu cha Hekaya za Abunuasi

    Hiki cha "buricheka" nakumbuka kinasomeka" Safari ya Bulicheka" na nilikuwa nacho, ila sijui nimekiweka wapi....nikipata nitawajulisheni
  11. M

    Naomba msaada wa jina la wimbo huu na Bendi iliouimba

    Mkuu "merengo90" Sijaupata bado, kiongozi
  12. M

    Naomba msaada wa jina la wimbo huu na Bendi iliouimba

    yaani ni tabu tupu...........nmejaribu ku download unaniletea defao ft chezntemba-suka chile. kuudownload wimbo ni mwingine kabisa
  13. M

    Naomba msaada wa jina la wimbo huu na Bendi iliouimba

    Mkuu unaweza niwekea hapa Mp3 maana kila nikutafuta siupati mkuu
  14. M

    Naomba msaada wa jina la wimbo huu na Bendi iliouimba

    Habar waungwana....! Nayakumbuka baadhi ya maneno yake" Costa wangau baba, unihurumie,.....kama ni watoto fika kwangu Costa, utawaona utawaona, na sasa nilikalaga na wewe bila ya kuleta ma..." Ni baadhi ya maneno ninayo yakumbuka, Tafadhali kwa anaye Ufahamu Tafadhali
Back
Top Bottom