mdogo wangu kachaguliwa ordinary diploma in education chuo cha serikali,,sasa anataka aaamie chuo cha private cha ualimu,je kuna umuhimu wa kufanya uhamisho kutoka serikalin kwenda private??
Naombeni msaada kujua mahali kilipo chuo cha ualimu dakawa na jinsi ya kufika, mimi ni muhanga wa uhamisho tuliopewa NACTE baada ya UDOM kujaa. Napata vipi join instruction..
jaman karibun mnipe wazo mwenzenu,,nimesikia ushaur wenu wa pande zote mbili,lkn bado nipo njia panda,maana kuna mdau kasema mwakan kunaweza kukawa na kuadimika kwa ajira.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.