Recent content by mbogawile

  1. M

    msaada wa mawazo kuhama chuo

    mdogo wangu kachaguliwa ordinary diploma in education chuo cha serikali,,sasa anataka aaamie chuo cha private cha ualimu,je kuna umuhimu wa kufanya uhamisho kutoka serikalin kwenda private??
  2. M

    Kupata chuo cha ualimu

    mwenye kujua chuo cha ualimu cha private,,ualimu wa msingi anijuze ,chuo kizur maeneo ya kibaha au mkoa wowote..
  3. M

    Msaada chuo cha ualimu Dakawa

    Naombeni msaada kujua mahali kilipo chuo cha ualimu dakawa na jinsi ya kufika, mimi ni muhanga wa uhamisho tuliopewa NACTE baada ya UDOM kujaa. Napata vipi join instruction..
  4. M

    Waliopata admission later udom tusaidiane

    naomba na mimi mnirushie jamani kwenye gkabogo5@gmail.com
  5. M

    NACTE wametoa majina waliochaguliwa kujiunga na vyuo vya ualimu

    mimi tayar nimethibitisha,kwa hiyo niangalie majina kwenye web ya udom au hapo bas jina langu litakuwepo,,na vip kuhusu admission
  6. M

    Waliopata admission later udom tusaidiane

    eti huko kuthibitisha ni wapi??Au tunafanyia wap kuthibitisha
  7. M

    NACTE selection za diploma za ualimu

    hata mi sielew,nina mdogo wangu nae aliomba,ila mbaka sasa kimya,sijui wametussahau.watuambie mapema ili tu apply sehemu nyingine.
  8. M

    Diploma ya ualimu au postgraduate ya ualimu?

    jaman karibun mnipe wazo mwenzenu,,nimesikia ushaur wenu wa pande zote mbili,lkn bado nipo njia panda,maana kuna mdau kasema mwakan kunaweza kukawa na kuadimika kwa ajira.
Back
Top Bottom