Diploma ya ualimu au postgraduate ya ualimu?

Diploma ya ualimu au postgraduate ya ualimu?

Fanya Postgraduate ya ualimu
Kwanza ni mda mfupi
Pili utaanza na TGTS D

diploma nI miaka 2
Halafu unaanza na TGTS C



huu ushauri uchukue kama ulivyo usipunguze kitu utaharibu.

utaona hyo pgt 3.5 ni kubwa ila kwa diploma ya sahivi 3 years ni shiiida
 
Zingatia ushauri wa Apologize lady,
hakuna direct entry ya post graduate ya ualimu! Kwanza hujiulizi katka ngazi za mshahara kuwa hiyo PGDE unakuwa category gani?
Serikalini directly entry ni Grade A, Diploma na Bachelor basi. Hiyo post unakuwa ni additional tu.

Wewe muache, atarudi kujuta hapa, yeye anafikiri tunaongea kwa kusikia kwa watu, hajui watu wakongwe kwenye eneo hilo.

Mim ndio maana sijataka kubishana nae, nimeamua nimuache aendelee kudanganyana na watoto wenzie.
 
Zingatia ushauri wa Apologize lady,
hakuna direct entry ya post graduate ya ualimu! Kwanza hujiulizi katka ngazi za mshahara kuwa hiyo PGDE unakuwa category gani?
Serikalini directly entry ni Grade A, Diploma na Bachelor basi. Hiyo post unakuwa ni additional tu.

Wanaajiriwa ajira mpya???

Kama wanaajiriwa unahofu gani na umri??? Maana kila ngazi ya elimu inaeleweka mtu anakuwa na umri fulani, why uogope??

Acha kudanganywa, idara ya elimu inaajiri watu wa diploma na degree za education tu na si vinginevyo.

Kama nia yako ni ajira mpya rudi kasome diploma utapata ajira tena bila shida maana wana uhitaji wa walimu wa sayansi. Ila ukisoma PGDE nakuhakikishia utarudi kulalama hapa.

PGDE na masters ni extra tu ila haikufanyi ukaajiriwa, inawahusu sana ambao tayari either ana diploma au degree ya education ivo anajiendeleza tu, kwa ajira mpya mmmh!!!! Labda waanze kesho

PGDE WANAAJIRIWA DIRECTLY WAKUU,
NGAZI YA MSHAHARA NI TGTS D,
EQUIVALENT TO BACHELOR DEGREe.
 
Zingatia ushauri wa Apologize lady,
hakuna direct entry ya post graduate ya ualimu! Kwanza hujiulizi katka ngazi za mshahara kuwa hiyo PGDE unakuwa category gani?
Serikalini directly entry ni Grade A, Diploma na Bachelor basi. Hiyo post unakuwa ni additional tu.

Pgde ajira unapata achen kupotosha kama hamjui...watu wamemaliza mwaka jana pale udsm wamepangiwa ajira...unaajiliwwa kama graduate na ngazi ya mshahara Ni ya degree mana post ni jina tu hlo. Mi nna friend zangu wamesoma mwaka huu pia pale Udsm na fomu za ajira wamejaza...wanasubiri ajira zao
Nnachoona hapa watu wanajb tu bila kua na uwakika.
 
niko njia panda hapo,

jaman karibun mnipe wazo mwenzenu,,nimesikia ushaur wenu wa pande zote mbili,lkn bado nipo njia panda,maana kuna mdau kasema mwakan kunaweza kukawa na kuadimika kwa ajira.
 
jaman karibun mnipe wazo mwenzenu,,nimesikia ushaur wenu wa pande zote mbili,lkn bado nipo njia panda,maana kuna mdau kasema mwakan kunaweza kukawa na kuadimika kwa ajira.

Kama ushauri umeshapata ,hapo hamna la zaid ni we kuchanganua kipi bora. Kilichobak watu wanabishana tu bila fact.
Japo mm naona bora Pgde mana hata ukikosa serikaln uwez kukosa ajira hata private..na hata vyuo vya ualimu kufundisha
Diploma miaka miwili ndugu na hapo ukipata ajira unaanzia daraja la diploma ..
 
Kama ushauri umeshapata ,hapo hamna la zaid ni we kuchanganua kipi bora. Kilichobak watu wanabishana tu bila fact.
Japo mm naona bora Pgde mana hata ukikosa serikaln uwez kukosa ajira hata private..na hata vyuo vya ualimu kufundisha
Diploma miaka miwili ndugu na hapo ukipata ajira unaanzia daraja la diploma ..

haya asante
 
Acha kudanganywa, idara ya elimu inaajiri watu wa diploma na degree za education tu na si vinginevyo.

Kama nia yako ni ajira mpya rudi kasome diploma utapata ajira tena bila shida maana wana uhitaji wa walimu wa sayansi. Ila ukisoma PGDE nakuhakikishia utarudi kulalama hapa.

PGDE na masters ni extra tu ila haikufanyi ukaajiriwa, inawahusu sana ambao tayari either ana diploma au degree ya education ivo anajiendeleza tu, kwa ajira mpya mmmh!!!! Labda waanze kesho

watu wa PGDE wanaajiriwa mkuu hata mwaka jana wameajiriwa na inahesabika kama bachelor tu na wala sio masters
 
watu wa PGDE wanaajiriwa mkuu hata mwaka jana wameajiriwa na inahesabika kama bachelor tu na wala sio masters

Nafikiri kuna sehemu hatuelewani. Mtu wa postg anaajiriwa kufundishaa primary au secondary????
 
kama una shahada basi soma pgde ni mwaka mmoja tu kila mwaka watu wa pgde wanaajiriwa hadi mwaka jana watu wameajiriwa mi nnarafiki zangu wamemaliza mwaka jana pgde wamepangiwa mmoja arusha na mwingine mbeya.
 
wanapangiwa sekondari kama bachelor

sijalijua hlo, ninachojua mim kuna watu ambao walisoma diploma au degree za ed hawakuajirika wakaenda kujiongeza na postg ndio wanaoajiriwa,

Lakini mtu alietoka course tofauti kabisa na ed huku chini then akapiga postg ed hapo sina uhakika,

Nipo nalifanyia uchunguzi wa kina
 
sijalijua hlo, ninachojua mim kuna watu ambao walisoma diploma au degree za ed hawakuajirika wakaenda kujiongeza na postg ndio wanaoajiriwa,

Lakini mtu alietoka course tofauti kabisa na ed huku chini then akapiga postg ed hapo sina uhakika,

Nipo nalifanyia uchunguzi wa kina

apologise lady nnachokwambia nna uhakika nacho ukiwa na shahada yoyote unasoma pgde na kuajiriwa na serikali kwa ngazi ya TGS D.serikali inaitambua hyo kama mtu mwenye bachelor ya education.
 
apologise lady nnachokwambia nna uhakika nacho ukiwa na shahada yoyote unasoma pgde na kuajiriwa na serikali kwa ngazi ya TGS D.serikali inaitambua hyo kama mtu mwenye bachelor ya education.

Nimekupata.
 
Back
Top Bottom