Bora mmalizane yaishe sio mara ya wigi, ya saloon, mara pedicure, mara gesi imeisha, mara mama anaumwa....mpe hiyo efulu Tano Kila wingu likitanda unamuita yanaishia Hapo no mahusiano mengine. Mnapata bahati mnachezea
Maelezo mengi umeruka swali la MSINGI ... Bei ya mwezi uliopita ilikuwa chini na bei ya soko duniani ilikuwa juu ...mind you (walisema stock IPO mpaka mwezi July) ..leo bei ya soko ipo chini bei imepanda ..msitufanye wajinga kiasi hicho kaka HIZO PRICE CEILING NA PRICE FLOOR ZIPO KWENYE...
Kakaaaa acheni basi kuwa PRAISE POWER mpaka aibu.... Kuna documentary nyingi tu zipo SAFARI CHANNEL Zina ubora kuliko huo wa RT ..... Na nnamini Zina gharama ndogo kuliko huu upuuzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.