Kiokotee
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 1,675
- 2,194
Hili nimelishuhudia mwenyewe kwa masikio yangu mawili;
1. Nyimbo za Anasa kupigwa kanisani yaani kama Bongo fleva.
2. Nyimbo za Ibada kama kwaya kupigwa kwenye Kumbi za Starehe.
Tunafahamu huko kote ndipo walipo waumini lakini mazingira kama ya kumbi za starehe unapiga ile Nyimbo ya "Hakuna Mungu kama wewe" kumbuka Ndani ya hizo kumbi kuna Anasa na Uchafu wa kila aina.
Kama nitapewa majibu kwa kutumia maandiko nitashukuru sana!
( Tumsifu kristo)
1. Nyimbo za Anasa kupigwa kanisani yaani kama Bongo fleva.
2. Nyimbo za Ibada kama kwaya kupigwa kwenye Kumbi za Starehe.
Tunafahamu huko kote ndipo walipo waumini lakini mazingira kama ya kumbi za starehe unapiga ile Nyimbo ya "Hakuna Mungu kama wewe" kumbuka Ndani ya hizo kumbi kuna Anasa na Uchafu wa kila aina.
Kama nitapewa majibu kwa kutumia maandiko nitashukuru sana!
( Tumsifu kristo)