Recent content by Mbisile

  1. M

    Ushauri kwa kamati tendaji UKAWA Taifa juu ya jimbo la buyungu kuelekea uchaguzi mkuu

    Mimi ni mpenda mabadiliko toka jimbo tajwa,nasikitishwa na sintofahamu iliyotanda ndani ya wapiga kura kuhusu nani kati ya Mhe Bhilago Wa chadema na Mhe Mawazo Wa NCCR-Mageuzi, atapitishwa na kamati husika ya UKAWA kutetea jimbo dhidi ya Eng.Christopher Kajoro Chiza toka CCM.Binafsi nisingependa...
  2. M

    Mgombea UKAWA Kujulikana Rasmi August 4

    Sasa kama umeshapata mgombea wako wa rais uliye na imani naye tatizo liko wapi la kukaa kimya ukisubiri tarehe ya kupiga kura badala ya kushinda Jf unapika majungu? "kama vya ukawa vinanuka tema mate uchape ndala"
  3. M

    Kutokuwepo kwa CUF kwenye kikao cha UKAWA kunaashiria nini?

    Chondechode ukawa malizeni tofauti zenu kwa maslahi mapana ya wananchi na siyo mgawanyo sawa Wa madaraka kwasababu muda huu uliobakia ni wakuweka mtu anayekubalika na wananchi bila kujali niwa chama gani kati ya washiriki Wa ukawa na siyo kuweka chama bila mgombea madhubuti la sivyo bao la...
  4. M

    Zitto Kabwe akiomba kura nafasi ya Uongozi wa Chama ACT

    Transparency na ujamaa ktk karne ya 21 halafu bongo ni sawa na mgonjwa wa HIV akiwa stage ya 4 kuambiwa atumie ARV kwaajili ya kuongeza CD4 huku akiamini kuwa atapona!!!!!!?
  5. M

    Tamko la Jukwaa la Wakristo Tanzania kuhusiana na Muswada wa Mahakama ya Kadhi

    Hakuna haja ya kurumbana kwasababu wanafahamu fika kuwa vyote vitakula redi kadi kwa nguvu zote (katiba ya watawala na CCM fisadi) maana kila kukicha ni heri ya jana!!!!!!!!!
  6. M

    Zantel pekee ndio mbadala wa Tigo na Voda, Soma hii

    Shida siyo 76,500/= bali ni kutokuwepo kwa network maeneo mengi ya Tz.Nadhani swala la kujitanua zaidi ndilo lipewe kipaumbele kwanza vinginevyo fursa hiyo ni nadra kwa wengi kutokana na watu wengi kuishi vijunguni(vijijini) hivyo si rahisi kufikia malengo kwa wateja hata wakifanikiwa kujiunga...
  7. M

    Naomba tutafakari maneno haya ya Bashe kwa Nape

    kama wanasema EL ni fisadi basi serikali ya CCM ndoo ilaumiwe maana ni vigumu mtoto wa kambale kukosa masharubu kutokana na genetic inheritance from parents!!!!!!!!!!!!!
  8. M

    Msafara wa boda boda toka Mbarali wavamia nyumbani kwa Lowassa, Dodoma

    Naona nyege za urais zimewajaa hadi pomoni, ama kwel TB JOSHUA kafanya yake, lakn wakumbuke kuwa mwalimu hafeli mtihani!!!!
  9. M

    Orodha ya viongozi na wanachama wa CHADEMA Waliomfuata Zitto ACT Tanzania

    Ogopeni sana watu wenye uchu wa madaraka badala ya kuwashabikia!!!!!!!!!!!!!!!!
  10. M

    Aliyekuwa mbunge wa CHADEMA, Zitto Kabwe ahamia rasmi ACT Tanzania

    Kwani ACT wana lipi jipya zaidi ya kutafuta ulaji pamoja na janjaweed wao mpya? Nakwa taarifa CCM hatuko nyuma yake tena ila tunashukuru kwa kutusaidia katika harakati zetu za matumaini!!!!!!!!!!!!
  11. M

    Opinion: Kung'atuka Kwa Zitto, CHADEMA, Msishangilie, Mkajisahau, Jiandaeni kwa "Karma!"

    Yote kuhusu zito ni tisa ila kumi ni hatima ya ccm juu ya maisha magumu kwa waTz pamoja na kuiamini kwa awamu zote 4.
  12. M

    Hawa watatinga Bungeni baada ya Uchaguzi Mkuu October 2015

    Mawazo Metusela Athanas(NCCR-MAGEUZI)-Buyungu
  13. M

    Lowassa: Nimeshawishika, Nitagombea urais...!

    kiukweli anafaa sana ila lazima atueleze kinagaubaga mchawi aliye sababisha ang'atuke maana alifanya vile kutunza heshima ya serikali yeye avyodai.
  14. M

    Lema: Kinana jiunge na FUTUHI

    kiboko yao ni octoba si wanadhani cc ni watoto wadogo wa kudanganyiwa pipi!!!!! Cha msingi tubanane nao kwenye daftari la kudumu la mpiga kura.
  15. M

    Pengo awalipua Maaskofu, asisitiza uamuzi wa aina ya kura ni wa mtu binafsi

    kimtazamo Pengo yupo sahihi lakni serikali nayo imepata wapi haki ya kumchagulia mwananchi aipigie kura ya NDIYO katiba ya walanchi?,Naomba kuwasilisha wana Jf.
Back
Top Bottom