Ushauri Kwa hao wawekezaji wanatakiwa kuweka mfumo wa kuvuna maji mengi wakati wa masika na wakati wakiangazi kama huu kuacha kabisa kuvuna mtoni.Kusitisha kilimo cha umwagiliaji si sahihi sana
Usidhihaki msiba.usimtukane mkunga na uzazi ungalipo,usirudie kosa Kwa sababu mwenzako alikosea na mbele ya mungu kila mtu anahukumiwa Kwa makosa yake.Pole familia ya mbowe. Na mbele ya mungu kila Jambo Lina kusudi lake.
Mtumishi anayelipwa mshahara kupitia TIGOPESA AU MPESA ni baada ya Makato yote ya Serikali kupunguzwa m.f PAYE sasa anapotoa mshahara wake kwenye tigo pesa atakutana na punguzo la VAT 0.18 na hili jipya la Tozo.Hii ni zaidi ya double taxation!!! Multiple taxation . Bunge dhaifu Sana katiba mpya...
Hoja imekidhi kanuni 20/80 ya Pareto uamuzi wa kuruhusu vyama vingi ulizingatia hii kanuni na Mambo mengi duniani. Katiba mpya haikwepeki muda utasema!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.