Serikali, wapo wageni wenye passport ya Tanzania. Wachukulieni hatua; nchi hii ni mali ya Watanzania

Definition ya uraia ni ngumu sana kuielewa hata mimi huwa inanisumbua mpaka leo.
Uraia wa TZ unaupata kwa njia tatu. Lakini mleta mada anauhakika hawajapata uraia kwa njia mojawapo nje na ile ya kuzaliwa TZ (na ambapo mzazi mmoja au wote ni watz? Na Tanzania hata ukioa/kuolewa na mtanzania lazima uombe uraia kwa vigezo vilivyopo.

Na mabingwa wa passpoti mbili ni wahindi mbona hilo hajalisema? Ajenda mezani ni uraia pacha ufikiriwe.
 
Hapo kuna taasisi tatu zinaungana kuliteketeza Taifa kwa Rushwa ndogo ndogo;
1.RITA wanaotengeneza vyeti bila kujali mtu kazaliwa Tanzania au kazaliwa nje. Hawa watu naamini wanacheza na unyeti wa vyeti vya kuzaliwa na kwao wao udadisi siyo hoja. Ukienda hata kama ujazaliwa Tanzania ukawapa fedha cheti unapata Tena kwa namba unayotaka wewe. Nimewahi shuhudia rafiki yangu aliyezaliwa Kenya akitengenezewa cheti kwamba amezaliwa Tanzania na entries zikiwa za miaka ya nyuma tofauti hata na mwaka wake halisi kwa kutoa elfu arobaini tu. Hiyo Ni Bukoba sijui Dar situation ni mbaya kiasi gani

2. NIDA Hawa wao wapo tayari kukwamisha maombi ya wahaya na wahangaza kwamba siyo raia lakini watoe vitambulisho kwa wahindi, Wasomali, watutsi, waarabu kwa ujira kidogo sana.

3. Uhamiaji, huku ndipo zinapotoka pasipoti. Niseme kwa ushahidi kabisa wahindi, Wasomali, waarabu na watoto wa wadosi maombi yao hayakaguliwi. Wanapeleka moja kwa moja kwa maafisa wakubwa wanapewa vimemo wanaambiwa wakalipie. Hata foleni hakuna kukaa. Mwaka 2019 nilikuwa na case ya mjukuu wangu mwenye uraia pacha, nilifuatilia pasipoti kwa zaidi ya mwezi na nikiwa kwa viongozi mbalimbli kurasini nilishuhudia niwaite vishoka wakisomali na kiarab wakiingia kwa viongozi na maombi bila hata kupanga mstari Kama sisi. Wakifika wanacheka cheza na wasaidiz wa viongoz wanatoa elfu tano Mara kumi ya lunch wanaruhusiwa kupita na awakai ndani wanatoka namaelekezo wapelekwa kwa escort wakalipie. It was shame to instution kudharau weusi na kuthamini wenye rangi. I have the photos and videos of senerioz ila niliacha kuzisambaza baada yakusadika😀
Katika mazingira Yale ya viongoz kuruhusu vishoka na wateja kwa rangi zao na fedha wasihudumiwe kaunta waende moja kwa moja kwenye ofisi zao ambazo zina tinted unategemea pasipoti zisipewe wageni?
Corruption ya viongoz na hofu + vimemo nsivyo vinapelekea pasipoti kuangukia kwa wageni. I appreciate the job of some junior officers at counters wanajibu hoja nakubishana kwa woja na naamini wangezuia vimemo vya viongoz kwenda chini sijui mpikee au mpeleke akalipie bila hata kuwahoji ingesaidia.

So changamoto inatokana na ofisi hizi tatu, Nani amfunge paka kengele wakati baadhi ya wahusika wennye pasipoti za TZ na nje ni Mawaziri na watoto wao?
 
Umefeli Ulaya umerudi Bongo umekua na roho mbaya yaani Watanzania unawaita wageni hivyo ni vitambulisho tuu Carl peter alileta ujanja ili watutawale ukiweza kuwa na passport ya nchi yeyote chukua upige pesa ukiamua kuifuta kisheria na kurudia mkwaju wako wa home inawezekana sisi wengine tumetumia ya Malawi,Maumbiji na SA na zenyewe kabisa kwa sababu mkwaju wa kibongo nchi nyingi ulikua unataka Visa sasa kaburu nchi nyingi anaingia na Entry tuu nimepiga mishe zangu miaka kibao nikaufuta kisheria nipo na mkwaju wa kibongo maisha yanaenda wewe endelea kulala kisa mkwaju unaona kama unatoa damu vile...
 
Hapo kuna taasisi tatu zinaungana kuliteketeza Taifa kwa Rushwa ndogo ndogo;
1.RITA wanaotengeneza vyeti bila kujali mtu kazaliwa Tanzania au kazaliwa nje. Hawa watu naamini wanacheza na unyeti wa vyeti vya kuzaliwa na kwao wao udadisi siyo hoja. Ukienda hata kama ujazaliwa Tanzania ukawapa fedha cheti unapata Tena kwa namba unayotaka wewe. Nimewahi shuhudia rafiki yangu aliyezaliwa Kenya akitengenezewa cheti kwamba amezaliwa Tanzania na entries zikiwa za miaka ya nyuma tofauti hata na mwaka wake halisi kwa kutoa elfu arobaini tu. Hiyo Ni Bukoba sijui Dar situation ni mbaya kiasi gani

2. NIDA Hawa wao wapo tayari kukwamisha maombi ya wahaya na wahangaza kwamba siyo raia lakini watoe vitambulisho kwa wahindi, Wasomali, watutsi, waarabu kwa ujira kidogo sana.

3. Uhamiaji, huku ndipo zinapotoka pasipoti. Niseme kwa ushahidi kabisa wahindi, Wasomali, waarabu na watoto wa wadosi maombi yao hayakaguliwi. Wanapeleka moja kwa moja kwa maafisa wakubwa wanapewa vimemo wanaambiwa wakalipie. Hata foleni hakuna kukaa. Mwaka 2019 nilikuwa na case ya mjukuu wangu mwenye uraia pacha, nilifuatilia pasipoti kwa zaidi ya mwezi na nikiwa kwa viongozi mbalimbli kurasini nilishuhudia niwaite vishoka wakisomali na kiarab wakiingia kwa viongozi na maombi bila hata kupanga mstari Kama sisi. Wakifika wanacheka cheza na wasaidiz wa viongoz wanatoa elfu tano Mara kumi ya lunch wanaruhusiwa kupita na awakai ndani wanatoka namaelekezo wapelekwa kwa escort wakalipie. It was shame to instution kudharau weusi na kuthamini wenye rangi. I have the photos and videos of senerioz ila niliacha kuzisambaza baada yakusadika😀
Katika mazingira Yale ya viongoz kuruhusu vishoka na wateja kwa rangi zao na fedha wasihudumiwe kaunta waende moja kwa moja kwenye ofisi zao ambazo zina tinted unategemea pasipoti zisipewe wageni?
Corruption ya viongoz na hofu + vimemo nsivyo vinapelekea pasipoti kuangukia kwa wageni. I appreciate the job of some junior officers at counters wanajibu hoja nakubishana kwa woja na naamini wangezuia vimemo vya viongoz kwenda chini sijui mpikee au mpeleke akalipie bila hata kuwahoji ingesaidia.

So changamoto inatokana na ofisi hizi tatu, Nani amfunge paka kengele wakati baadhi ya wahusika wennye pasipoti za TZ na nje ni Mawaziri na watoto wao?
Duu.
 
Kawataje majina yao uhamiaji basi wawafuatilie.

Sasa unaacha mabeberu wanasambaa nchini?
Hakuna mchongo mkubwa wa wahamiaji unaofanyika bila Uhamiaji wenyewe kujua.

Kinachofanyika ni kila wakati fulani hao uhamiaji huwa wanaenda kwa hao wahamiaji, na kukatiwa fungu wanatulia.

Tembelea viwanda vya wahindi, utakutana na wahamiaji kibao kutoka India na Pakistan walioletwa maalum kwaajili ya kusimamia vibarua wa kibongo.

Fika kwenye magown ya wachina, wamejaa mpaka vijijini huko hata vibali vya kazi hawana na wengine mpaka wana vitambulisho vya NIDA.

Kuna wahamiaji wao wanakaa ndani tu kwenye magodown huko, wanatoka nje usiku tu.
 
Uraia wa TZ unaupata kwa njia tatu. Lakini mleta mada anauhakika hawajapata uraia kwa njia mojawapo nje na ile ya kuzaliwa TZ (na ambapo mzazi mmoja au wote ni watz? Na Tanzania hata ukioa/kuolewa na mtanzania lazima uombe uraia kwa vigezo vilivyopo.

Na mabingwa wa passpoti mbili ni wahindi mbona hilo hajalisema? Ajenda mezani ni uraia pacha ufikiriwe.
 
Hii nchi ina ufisadi wa aina nyingi sana, na rahis sana mgeni kutajirika kuliko mzawa.
Mifumo yetu mingi ni dhaifu sana haiwezi kuendana na dunia tuliyopo.
Mgeni kupata id ya nida ni rahisi, kupata tin namba rahis, kufungua co rahisi, kufungua biashara popote ni rahis pia na hakuna wa kukuuliza na akitokea anatulizwa na laki moja anasepa...
Lakini hata serikalini kuna watu uraia wao ni utata lakini wamepata mashavu makubwa...,😠
 
Mimi nilifanikiwa kuishi nchini Uingereza kwa about 23 yrs nikisoma lakini pia nikitafuta mchongo wa ajira. Baadaye nilifanya attempt ya kupata uraia nikakwama. Lakini nawafahamu watoto wa vibosile ambao kwa influence ya wazazi wao na wengine juhudi binafsi walipata uraia Wa Uingereza, Canada, Australia,USA na Ufaransa.

Wengi wa vijana hawa baada ya kutokea mtetemeko mkubwa wa masuala ya ugaidi na kupungua kwa fursa za uchumi kwenye Mataifa hayo ya majuu waliamua kurejea nyumbani nakuendeleza michongo yao hapa.

Most of watoto wa wadosi na waadhiri wa vyuo awakuwa na mchongo wa biashara maana familia zao ziliwalinda kwa pocket money. Sisi wengine tukakomaa na kujichanganya mtaani upate chochote.

Michongo mingi ya business nilkuwa napata kutoka kwa wenzetu Wasomali, wao ilikuwa rahisi kupata ukimbizi na Uraia lakini pia walikuwa na michongo ya fedha kutoka angle mbalimbali.

Kati ya mwaka 1998 Hadi 2014 jamaa zangu wa Somali waliwahamasisha sana ndugu zao kuja Tz kukimbia mazingira ya nyumbani kwao. Nakumbuka Mimi pekee nilikua linked na zaid ya familia 20 ambazo most of relatives walikuwa wanaishi bongo hasa sabasaba, Temeke na Buguruni. Ilikuwa ukija Tz lazima utumwe maujumbe mengine ya pesa ulete kwa ajili ya familia za Hawa jamaa.

Baada ya life kuwa ngumu na kwa kuzingatia maisha yalivyokuwa nje nilirejea nchini nikaanza kupiga kazi na clearing and foward company nyingi zikiwa nafanya nazo michongo ya kuingiza magari ya jamaa wa kisomali waliopo Tanzania.

Nimekaa hapa bongo napiga michongo hiyo nilipopata mtaji nikaamua kufungua ofisi yangu bandarini yakuclear mizigo. Hapa ninakutana na washkaji kibao waoniletea kazi au kuchukua mzigo kwao au tunaouziana kazi.

Kwanini nimeandika hii story, nimepata wasiwasi na namna michongo inavyokwenda hasa kuhusu uraia wa Tanzania. Kwa sababu zifuatazo;

1. Washakaji wote waliopata Uaraia kule ugenini wakarudi hapa nchini naona wanatumia pasipoti za Tanzania. Juzi nimemwona dada mmoja mwanza mwanasiasa akipanda ndege kuja dar, huyo sister na brother wake najui ni waingereza ila yeye wakati anachek in alitoa pasipoti ya Tanzania Kama kitambulisho nikashtuka. Lakini pia washkaji wenge wapo UDSM, Muhimbili, BoT, Bugando na Hazina waliobadili uraia nawaona wanatumia pasipoti za Tanzania? Je wanazipata kihalali au wanaficha pasipoti za nje nakubaki kujitambulisha kama wabongo?

2. Bora kwa Hawa Watanzania niliowataja hapo juu kidogo tunaweza kusema niwataftaji, lakini lipo kundi la wale jamaa waliokuwa wanapewa fedha na ndugu zao waliopo nje nakuingia Tanzania Kisha kufikia kwa ndugu zao Temeke, Buguruni, Karikoo na mtongani. Hawa ni wale Wasomali ambao ndugu zao wanapesa nje, nimeshtushwa kuona nao wanakampuni za usafirishaji mizigo Kama Watanzania na wengi wao Wana miliki magari makubwa ya mizigo kwenda Kenya.

Jamaa mmoja ambaye nakumbuka wakati namletea fedha na zawadi kutoka kwa ndugu zao kipindi hicho anafanya kazi za utingo Sasa hivi naona anamiliki hadi pasipoti za Tanzania. Nilipomdadasi nikagundua majina anayotumia siyo yale ya kipindi kile anatumia majina tofauti yote akitumia majina ya mzee aliyekuwa mwenyeji wake kipindi hicho.

Nimeandika uzi huu Kwanza kuwafungua macho ndugu zangu kwamba hii ni nchi yetu, tusipowafichua hawa watu sisi ndio tunakosa ajira na nafasi nyeti wanapewa wao kwa sababu kwa kundi la Kwanza wazazi wao ni wanasiasa wakubwa, maprofesa na madaktari ambao kwa vyoyote majina yao yanawabeba watoto wao.

Pili kwa hili kundi la pili lazima mamlka zinazohusika wakague upya kuona watu wanasajili Kampuni hapa ni Watanzania? Kama siyo Watanzania kwanini wakwepe kodi zinazotakiwa kulipwa na wageni? Lakini pia fedha wanazozalisha hapa nchini wanaziacha hapa au wanazisafirisha nje? Je, wanapodanganya kwamba ni Watanzania wakati siyo Watanzania familia zinazowahifadhi nakuwaruhusu watumie majina yao wanafanywa Nini?

Uingereza walipobaini nimedanganya kuhusu nyaraka zangu waliniburn nisikanyage kwao, kwanini hawa Wageni sisi tusiwashugulikie Kama Mataifa mengine yanavyofanya? Kwanini mtu asiye Mtanzania na ambaye hata lafudhi inamsuta, Hana historia yakusoma Tanzania Wala kuzaliwa kwanini adanganye mamlaka tuwaache?

Aiwezekani wale niliokuwa nawaletea zawadi au salamu kutoka nje huko kupitia ndugu zao miaka mitano Hadi kumi nyuma tayari wameomba Uaraia vinginevyo Basi kupata Uraia wa Tanzania itakuwa rahisi sana. Mamlaka wamulikeni Hawa watu kwenye Utumishi wa Umma uzuri mna CV zao na awakubadilisha majina usema amwezi kuwapata, lakini mulikeni kundi la jamii ya Wasomali waliojipachika kwenye familia nakuwachafua Wasomali ambao ni Raia wa Tanzania.
K..MA BAAKOO
Kenge wewe mpuuzi kinyesi kabisa
Maisha yalikushinda huko unakuja na gubu la roho ya kutu na gundu
Kafe mbele kivyako, ulipata nafasi ukashindwa kuitumia nyagau mpanda chuki
Na utaendelea kuganga njaa na kiofisi mshenzi , fcuking useless Idiot...
 
Mim kuna mtu namjua ni mkenya ana passport ya tz na ushahidi ninao
Ila migration wanahongwa mno
Sasa passport mbili mtu anawezaje kutumia? Kwa mfano umepita Airport flani na passport ya bongo siku nyingine ukataka kupita na passport ya nchi nyingine si utakamatwa tu?
 
Hapo kuna taasisi tatu zinaungana kuliteketeza Taifa kwa Rushwa ndogo ndogo;
1.RITA wanaotengeneza vyeti bila kujali mtu kazaliwa Tanzania au kazaliwa nje. Hawa watu naamini wanacheza na unyeti wa vyeti vya kuzaliwa na kwao wao udadisi siyo hoja. Ukienda hata kama ujazaliwa Tanzania ukawapa fedha cheti unapata Tena kwa namba unayotaka wewe. Nimewahi shuhudia rafiki yangu aliyezaliwa Kenya akitengenezewa cheti kwamba amezaliwa Tanzania na entries zikiwa za miaka ya nyuma tofauti hata na mwaka wake halisi kwa kutoa elfu arobaini tu. Hiyo Ni Bukoba sijui Dar situation ni mbaya kiasi gani

2. NIDA Hawa wao wapo tayari kukwamisha maombi ya wahaya na wahangaza kwamba siyo raia lakini watoe vitambulisho kwa wahindi, Wasomali, watutsi, waarabu kwa ujira kidogo sana.

3. Uhamiaji, huku ndipo zinapotoka pasipoti. Niseme kwa ushahidi kabisa wahindi, Wasomali, waarabu na watoto wa wadosi maombi yao hayakaguliwi. Wanapeleka moja kwa moja kwa maafisa wakubwa wanapewa vimemo wanaambiwa wakalipie. Hata foleni hakuna kukaa. Mwaka 2019 nilikuwa na case ya mjukuu wangu mwenye uraia pacha, nilifuatilia pasipoti kwa zaidi ya mwezi na nikiwa kwa viongozi mbalimbli kurasini nilishuhudia niwaite vishoka wakisomali na kiarab wakiingia kwa viongozi na maombi bila hata kupanga mstari Kama sisi. Wakifika wanacheka cheza na wasaidiz wa viongoz wanatoa elfu tano Mara kumi ya lunch wanaruhusiwa kupita na awakai ndani wanatoka namaelekezo wapelekwa kwa escort wakalipie. It was shame to instution kudharau weusi na kuthamini wenye rangi. I have the photos and videos of senerioz ila niliacha kuzisambaza baada yakusadika😀
Katika mazingira Yale ya viongoz kuruhusu vishoka na wateja kwa rangi zao na fedha wasihudumiwe kaunta waende moja kwa moja kwenye ofisi zao ambazo zina tinted unategemea pasipoti zisipewe wageni?
Corruption ya viongoz na hofu + vimemo nsivyo vinapelekea pasipoti kuangukia kwa wageni. I appreciate the job of some junior officers at counters wanajibu hoja nakubishana kwa woja na naamini wangezuia vimemo vya viongoz kwenda chini sijui mpikee au mpeleke akalipie bila hata kuwahoji ingesaidia.

So changamoto inatokana na ofisi hizi tatu, Nani amfunge paka kengele wakati baadhi ya wahusika wennye pasipoti za TZ na nje ni Mawaziri na watoto wao?
Hatari sana, ndio hali halisi hii
 
Back
Top Bottom