Vijana, tunakabiliwa na changamoto nyingi. Ukosefu wa mitaji ni kikwazo kikubwa. Hata tunapopata fursa au kuwezeshwa, wengi wetu hatuonyeshi uthubutu na uwajibikaji. Matokeo yake, tunawalaumu wengine kwa roho mbaya na kuwanyima fursa vijana ambao wako tayari kufanya kazi kwa bidii.
Ni wakati wa...
Wazee wa magetoni, tupatieni connection za michongo ya kazi, na sisi tupange! Kutoka nyumbani kama hauna mchongo wa kufanya ni too risk ni kama kuvuta bangi karibu na geti la kituo cha polisi.
Pole sana age mate.
I have the best friend by my side, she is friendly, humble, loving and caring. She's always there to help through the good times and the bad.
What I'm going through, I haven't made it financially yet, I'm working here and there, but things are getting harder and harder...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.