sasa mnataka nape afanye nini kwa wakati huu hata yeye anaona chama kinavyo poromoka na mbaya zaidi hawezi kuzuia hayo maporomokokwani yanakuja na majabali makubwa sana yana bomoa vizingiti vyote vilivyopo inabidi atazame tu na kubaki ofisini la sivyo yatamsomba nayeye.
Ni wazi kuwa matokeo haya yamemfurahisha kila mtu binafsi naamini hata wana ccm wenyewe watakuwa wamefurahi japo furaha yao inakua nndani kwa ndani kwani walikuwa wanajua kuwa ahadi zilizokuwa zikitolewa na viongoziwao si zakweli ni za kumdanyia mtoto peremende ili anyamaze kulia.
ivyo nami...
Hata nami nimeshangazwa na taarifa ya dr kashilila kwani hata kuongea kwake kulikuwa kwa kusitasita sijui kulikoni huko muhimbili but tunajua mungu yupo pamoja naye na atampa kupona ili atekeleze arakati za kuubainisha ubadhilifu wa fedha za umma kama tarehe 31 october kamati yake imemwita...
Nape umeonyesha jinsi unavyo pambana na ufisadi kwenye chama chako na hata kukawa na minon'gono mafisadi fulani wajivue gamba na hata baadhi wakatajwa hazarani mmoja akiwa rostam sasa ebu tuambie kama rostam ni mmoja kati ya mafisadi, na wimbo wako mafisadi wajivue gama rostam kaamua mwenyewe...
MMMM hapo umempatia pia aelewe hatufurahii kitendo hicho ila tunachukizwa na mtu asie toa habari za uhakika polisi na badala yake kuchafuana kwenye jamii .kama alishuhgudia why not kutomsaidia mwenzao au kufanya juhudi za kumuokoa mwenzao au naye ni mmoja wao ajitokeze basi asaidie upelelezezi.
mustafa ni vyema ukawa na uhakika kwa kile unachokiriport kwetu la sivyo utakuwa unapotosha umma kwa kuzungumnza kiti ambacho huna ushaidi nacho.
au ndiyo mbinu za kuichafua cdm hautafanikiwa ng'oooo. ukiisema cdm vibaya unajitafutia kuchanganikiwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.