Kwa Esther matiko hana option nyingine kama anahitaji kuendelea kuwa mbunge wa tarime lazima ahamie tu ccm, au achague kurudi kulima nyabhirongo huko kwao,so mnaombwa mmuache tu Dada wa watu nani asiyependa kushiba?
Mimi niliumia sana taifa stars kutoa sare na Uganda kwao, kwa kweli waganda wametuponza sana nawalaumu sana, kwa nn wametufanyia hivi kwa nn hatujafungwa? Nilisikitka sana nilipokuwa nawaona watanzania wanavimba kichwa kwa timu mbovu sio mbovu kwa kukosa wachezaji wazuri, ila mbovu kwa kuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.