Thats why nimeandika hapo kuwa wataalam watuambie how the God's creation will be changed.?
Zile genetic materials(DNA & RNA) zinabadilisha vipi uumbaji wa Mungu?
Watu waelimishwe ili waelewe na siyo kuwazuia tu.
Nafikiri tunaitaji ufafanuzi wa wataalam.
Maana sehem hiyo ya aya inasema......."I will command them so they will change the creation of Allah"
Huyo ni shetani anajinasibu kuwa atawalazimisha mwanadamu wabadili uumbaji wa Mungu.
Pia wanazuoni watuambie hayo maumbile yanayobadirishwa ni kwa...
Naunga mkono alichokisema.
Hawa wote ni wateule wa rais, anayehusika na masuala ya elimu ni waziri wa elimu.
Huyu anahusika na mambo ya ulinzi na usalama.
Watoto wakitembea kwa mwendo mrefu na maeneo hatarishi wakipatwa na hatari kama kubakwa au kutekwa linakuja suala la ulinzi ambalo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.