Mama yetu Samia makamo wa rais ametumia ndege za shilika la ndege Tanzania ITCL Kwenda mwanza nakutumia shilingi milioni saba na laki sita( 7600000) yeye pamoja na ujumbe wake nakuokoa zaidi ya sh milioni arobaini kama angepanda ndege binafsi nini mtazamo wako
Habari zenu wakuu,
Vyombo vya habari huko Korea Kaskazini havijatangaza bado ushindi wa rais Mteule wa Marekani, Donald Trump kwa raia wake.
Kuna nini hapa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.