Alinufaika kibinafsi anaridhika kwani kwao ifakara ana Zoo kubwa yenye uwanja wa ndege, jumba kubwa la kifahari liloshehena kila Hitaji, na vindege vyake uenda vikampeleka na rafikiye Mr Miss Tanzania wakaenda na warembo wao wakifanya Usodoma wao. Haitoshi jumba la kifahari lililopo mbezi...
Amejua na kesho yanashuka tena bei hivyo anaona afadhali bei ya Leo watu wanunue japo apate kanyongeza ndio kaleta humu Janja yk, lakini Waaaapi nani kakwambia wote hatujui Janja yako! Umebugi men!
All 2 all Faraja atabaki kuwa mke mmiliki wa Mali za huyo Twiga wetu mpk cku ya mwisho yeye Twiga wetu km alichelewa kutotoa kivyake Faraja kafunga sasa anakusanya mauzo tu naye ya kodi za mbugani. Wangapi wanazaa nje ya ndoa Kama ...... mbona mkewe anatambulika kimataifa na duniani kote! Shida...
Wewe nawe mapenzi yk kwa hawa watu yanavyokueusha bac unataka wooote wapee attention na hao viumbe? Tafuta kazi vinginevyo utatuletea pumba nyingi humu ndani
Ni kweli hatari sana nguo ikinasa kwenye gurudumu dadangu alipatwa na mkasa huo ilikuwa ni mtandio ulinasa na speed ya bodaboda basi ukamchinja shingo sehemu kubwa akashonwa nyuki 12 ilikuwa kifo lakini aliponyongwa na huo mtandio alitamka maneno haya "Ashahadu lal- illa ahlalau" mpk pikipiki...
Haya maisha ya Dunia hii kweli yanatutesa kila mtu anataka kutoka Sasa ngoma za wengine watokeazo kali kama Mdundiko unakutoa ndani haraka bila hata kufunga mlango mbio kuifata wendako hukujui kutahamaki ukitaka kurudi Ushapote! Pole yake Shemeji yao na Dada Mashauzi pia?
Wagonjwa wenzangu nashauri mwende hospitali kufanya vipimo fasaha ili mjue tatizo ni nini, ila Mimi niko hivyo nikioga maji baridi tu chamoto takiona baada ya masaa najikuna saaaana hadi navimba na kuacha mabaka hivyo nilifatilia tiba kwa sana nikagundulika nina ugonjwa wa asthma ya ngozi...
Na ukiacha huyo (baba mdogo) shangazi pia alikuwa naye Zeruzeru kafa akiwa na miaka kati ya 41/40 na kazikwa kaburi lipo Pia mtoto wa shangazi naye alikuwa hivyo hivyo kafa akiwa na miaka 12 kwa ugonjwa wa Pumu naye kaburi lipo. Hii ni kuonyesha mkoa waliozikwa hakuna Imani za kizeruzeru hivyo...
Mmmmh c kweli kuwa hakunaga mazishi yao, baba mdogo alikuwa Zeruzeru (Albno) alifariki akiwa na umri wa miaka 54 na tulimzika Dodoma na kaburi alikufukuliwa mpk Leo lipo
Uteuzi Wa Dkt. Mmbando umelenga sana kwa Wizara ya Afya na Ustawi Wa Jamii mana Wizara tata, kwa Mmbando anaujua vyema msitu wa Afya hivyo naamini ataitendea haki wizara pmj na madaktari wenzake kwa 90%. Big up JK, Big up Dkt Mmbando!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.