Recent content by mbeya1

  1. M

    Kamanda kova tuambie, Mgombea wa CUF ni n

    bo..ya kweli kova kwani maandamano lazima muanzie ofc kwenu..kwel ccm wanatumia nguvu kubwa sana kuzuia mvua ya elininyo
  2. M

    UKAWA tumejipangaje? Hawa wanaohamia wafuate kanuni

    kwanza ccm itoke madarakani..
  3. M

    DC wa Kinondoni(Makonda) yupo anamsimanga Lowassa

    kumuongelea uyu kunguni nikuzidi kumpa kiki..mi nishampuuza..nmemuweka kwenye kundi la akina mrema
  4. M

    Mwenyekiti CCM mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa abwaga manyanga!

    hadi dodoma kimewaka basi ccm hawana chao,maana wagogo na wasambaa wagumu sana kubadilika..ukombozi wa kweli hauzuiliki
  5. M

    Ni kijana gani wa kupigiwa mfano siasa za Tanzania?

    kuna jamaa anaitwa moses machali ukitoa ukigoma uyu jamaa anajua kupangilia sana hoja zake na kuzisimamia
  6. M

    Edward Lowassa kuchukua fomu ya Urais ofisi za NEC Jumatatu tarehe 10 Agosti, 2015

    aluta continua.,salam zimfikie makomeo popote alipo bila kumsahau mpga gitaa
  7. M

    Ukweli kuhusu hafla ya Kikwete, Magufuli na wasanii huu hapa

    Tulienda kula bata tu nakupga pc tuwe wakweli insta tutaweka nin kama sio pc na prezda jaman..kura zetu ziko ukawa ilo halina ubish
  8. M

    Lowassa ameteka media huku Magufuli akiteka raia

    Kama sampling yako umefanyia lumumba uko sawa..
  9. M

    Magufuli ni mwanasiasa aliyefilisika kihoja na wala hana uwezo wa kushinda uchaguzi kihalali

    Labda awe raisi wa familia ya kikwete sio tanzania
  10. M

    CHADEMA / UKAWA kuanza sera zao rasmi

    gamba likikauka hugeuka gogo jiangalie ndugu
  11. M

    Mabango ya Lowassa 2015 sio Kampeni

    Ivi zile chupi za magufuli zile ni kampeni?
  12. M

    Mgogoro: 4u Movement, Team Lowassa walumbana na CHADEMA ktk kupanga mikakati ya kumnadi Lowassa

    Ccm mmakamatwa pabaya mwaka huu mtatapa tapa hadi mkome tangu lin mgen akaamua mda gan wenyej mulale?? Nepi vijana wako wameshindwa kwa hl wape lngne
  13. M

    Kadi ya CHADEMA imenirudishia wallet yenye pesa na vitambulisho

    CHAMA KUBWA tunasifika kwa ukalimu..hi imetokana na ujenzi imara wa mwenyekiti wetu.ashukuliwe kweli kweli mbowe wawatu
  14. M

    Mbunge wa Musoma Nimrodi Mkono kuhama CCM

    Unakaribia kwenye ukweli..uyu mzee matendo yake hayafanan na uccm.kinacho dhaniwa kinafanana na ukwel
Back
Top Bottom