Recent content by mbena yero

  1. mbena yero

    Ni mafuta gani mazuri ya kichwani kwa wanaume?

    Haya coconut oil ni yapi mkuu haya ya maji au? Sent using Jamii Forums mobile app
  2. mbena yero

    Sababu 5 kwanini watu huwa Rastafarian

    Na hiyo mimea mitano mitakatifu ni ipi hiyo? Sent using Jamii Forums mobile app
  3. mbena yero

    Wahindi wanasoma na kuiba nyota ya watu

    Nimejifunza kwamba mawazo unayoyajenga akilini mwako yawe ni mazuri au mabaya katika jambo lako, na matokeo yake huja vile unavyofikiria mfano ukifikiria kufanikisha kutimiza malengo yako utatimiza tu maana utatafuta njia au hatua za kufuata ili utimize jambo lako,, na ukifikiria jambo vibaya au...
  4. mbena yero

    Sababu 5 kwanini watu huwa Rastafarian

    Napenda kujua ni hatua zipi mtu azifuate ili awe rastafari hata kama hana rasta kichwani maana hawa bwana wana roho nzuri, wapole, wana huruma na wanapenda Amani, japo si wote je nini huwafanyakuwa vile? Sent using Jamii Forums mobile app
  5. mbena yero

    Sababu 5 kwanini watu huwa Rastafarian

    Endelea kufafanua mkuu, nawaelewa na nawapenda saana marasta wale wenye imani ya kirasta kabisa. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. mbena yero

    Wahindi wanasoma na kuiba nyota ya watu

    Nimejifunza kitu kikubwa saaana hapa. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. mbena yero

    Natafuta kazi;:

    Habari za muda huu ndugu zangu, poleni na mahangaiko ya kutafuta mkate wa kila siku, Nakuja kwa mara nyingine tena kutafuta kazi, Mimi ni Mwanaume umri wangu ni miaka 25, Elimu yangu ni kidato cha nne, nipo mkoa wa Iringa.Natafuta kazi kwa yeyote mwenye uhitaji wa mtu wa kazi au kwa yeyote...
  8. mbena yero

    Nisaidieni nipate kazi ndugu zangu::

    Hiyo 50,000 ni kwa mtaji wa biashara ya urembo na vipodozi au ni mtaji kwajili ya kupaka rangi?
  9. mbena yero

    Nisaidieni nipate kazi ndugu zangu::

    Asante saana mkuu kwa kuonyesha upendo.
  10. mbena yero

    Nisaidieni nipate kazi ndugu zangu::

    Sawa mkuu, Nipo Frelimo.
  11. mbena yero

    Nisaidieni nipate kazi ndugu zangu::

    Samahani ni kazi gani mkuu?
  12. mbena yero

    Nisaidieni nipate kazi ndugu zangu::

    Naomba nisaidie ndugu yangu, Nipo tu sina kazi siwezi kukufanyia tofauti nakuomba msaada nitazingatia yote utakayonielekeza.
  13. mbena yero

    Nisaidieni nipate kazi ndugu zangu::

    Yeye hakumanisha kupaka rangi tu, alisema nifungue kibanda cha urembo kitakachokuwa na huduma ya kupaka rangi, Ndo nilivyokuwa nimemwelewa.
  14. mbena yero

    Nisaidieni nipate kazi ndugu zangu::

    Sina uzoefu huo wa kupaka rangi, nina uzoefu wa kuuza bidhaa za urembo kama vipodozi na nywele bandia/ wigs hizi za akina dada .
  15. mbena yero

    Nisaidieni nipate kazi ndugu zangu::

    Ushauri wako ni mzuri ndugu, tatizo ni mtaji hamna.
Back
Top Bottom