ndugu zangu mimi hata sielewi kabisa haya mambo yanaendaje??? uhamisho wa malipo watu wanahama inamaana ile barua haikueleweka vizuri au vip? mi najua walisitisha mwanzoni ili kupunguza gharama yani kubana matumizi kwa kuwa uhamisho wa kugharamiwa ukihamisha mtu bila yeye kuomba gharama zake...
kama wameanza kurudisha kazin watumish walioajiriwa mwezi mei 2016 ambao ajira yao ilisitishwa kupisha uhakiki wa watumishi na vyeti basi uhamisho wa watumishi haupo mbali
alafu wenyewe wamekaa kimyaa wakati watu wanaumiza vichwa, kama uhakiki tayari wamesema toka trh 26 aug 2016 sasa tatizo nin cjui!? utasikia wanasubiri tamko
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.