Zamani ulikuwa na upasuaji wa Moyo Tanzania hivyo kila kitu kitakuja taratiiiibu,
Katika Blog ya chadema kulikuwa na list ya mafisadi papa na moja ya majina ya hao ni mgombea uraisi wa chagadema sasa hivi imeondolewa kwanini? Iondokewe,
Lowassa kashindwa kuingiza maji monduli ataweza Mikoa...
Daaaa yericko nanwonea huruma saaana siku ikifika jamvi hili litabaki leupe na wengine kufa mke au mume wa mwenzio ndiyo malaya akiwa kwako sio malaya ni mfumo tu
Tanzania haki ya mungu tutakufa na huuuu ukanda huuuu ukanda tusipokuwa makini maaana Arusha, kilimanjaro watatumaliza haki ya mungu jamani haya ngoja tuone
Mabadiliko yatakujaje wakati wakina lowassa wanachukua pesa wanawanyang'anya wananchi mashamba yao wanajiuzia Ranchi za ng'ombe na kadhalika, wakipanga kilicho chema wao hawatekelezi ili tu ionekane chama fulani kimeshindwa ili waweze kusema
Kweli mwenye macho haaambiwi tazama wanaosema miaka hamsini ccm haijafanya kitu naona landa huyo kazaliwa jana na amekuwa kama embe, maana hajuwi hapo mwanzo kutoka kijijini kwao mapa kufika mjini bongo alikuwa anachukua siku ngapi na leo anachukua siku ngapi? Alafu miaka 50 ya ccm ambayo...
Kilichomsikitisha democrasia ndani ya ukawa imevurugwa na chadema maana makubaliano ikikuwa vyama vyote vitoe wagombea baada ya hapo halmashauri kuu za chama zikutane achaguliwe mgombea mmoja sasa badala yake chadema wamemsimamisha lowasa bila ya halmashauri za vyama havijakaaa kuna nini hapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.