H
Mhh mbona Mimi naona kama double standard vile! Nakumbuka waziri wa elimu hivi punde alisema kuwa "wanafunzi wa UDOM SPECIAL COURSE" Waliludishwa nyumbani kwa ajili ya mgomo wa wakufunzi. Mbona Kamati na naibu Spika hapa walipatwa na Ubaridi? Au waziri akisema UONGO n rusksa? au n mm sioni...
Kuna mwana jf anaejitambulisha Kama TAJIRIJASIRI tar 14/12016 alipost thread yenye title "Maswi asipoangaliwa ataiharibu TRA, kuna watu wengi walibeza lkn leo JPM kamwangalia na kumweka sawa Maswi. Na katika post hiyo alimgusia prof. m.Je wembe wa JPM unaweza kumwangukia Prof. M?
Mkuu nakubaliana na ww 100% n vizuri wabunge wa maalam wakalitambua hilo lkn pia hata wananchi nao wanapaswa kulijua hili ili pale bunge litakapoenda nje ya madaraka yake wajue cha kufanya.
leo asubuh nilikuwa nasoma maoni ya dr kigwangala na kushaangaa sana juu ya maswali 3 ambayo Dr...
Na bado! Mtapanga sana point mwaka huu, je unamaana hata huyo zito wako ana mawazo potofu? Kwani tumemwona akienda mahakaman ili abaki kwenye chama ambacho ww umekidharau
Japo ni maelezo mengi nahic kama kuna kitu ulitaka kumsaidia Mh Sugu, lakin kwa lugha uliyotumia m naona kama ulidhamilia kumtukana na kumdhalilisha mbunge ambae kwa kipindi husika aliaminiwa na wasomi na wasio wasomi wa jimbo la Mbeya.
Nafikiri hata wana jamvi wenzangu watakubaliana nami...
Thread hii haioneshi hata 0.00000000001% kuwa ww n mwana chadema. waache wenye chama chao waendelee na mambo yao. Hayo ndo matumiz yao acha kuzubaisha watu.
Nafikiri nimeachwa kidogo naomba ufafanuzi ivi ni lisu ndo amepotosha na kusigina katiba au ni kamati kuu ndo imepotosha na kusigina katiba kwa kutoa maamuzi bila kuzingatia katiba ya chama chao?
mawazo yangu nilifikiri Lisu na Mnyika walisema/kutangaza yale yaliyoaziwa na kikao.
JE? ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.