Kwa haya yanayofanywa na CCM waelewe tu sisi wananchi sio wajinga tuliyaona waliyoyafanya tukayaona aliyoyafanya meko na tunaona wanayoyafanya sasa waelewe sisi Watanzania sasa sio wajinga tena tuna akili na tunauelewa mkubwa sana tukutane 2025.
Kiukweli CCM wakimpitisha Gambo wana ccm wengi watapiga kura makusudi kwa upinzani huyu jamaa hakubaliki kabisa hapa Arusha hana mvuto si chamani mpaka uraiani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.