Recent content by mbavu nene

  1. mbavu nene

    Jina la mwanangu limezua vita ya kifamilia

    Jina hubeba hatma ya mtu dont take it easy jina lina maana kubwa sana
  2. mbavu nene

    Hawa watu wanaondoka kawaida au kuna system inawaondoa kwa kutumia akili kubwa sana?

    Hakuna Shaka the mafia gang they are in the move only smatest will survive
  3. mbavu nene

    Jinsi wasomi wanavyodhalilishwa Bungeni

    Hawa wabunge wa darasa la saba wanaakili kuliko hao unaowaita wasomi[emoji41]
  4. mbavu nene

    Nauona mwisho wa CCM

    Kwa haya yanayofanywa na CCM waelewe tu sisi wananchi sio wajinga tuliyaona waliyoyafanya tukayaona aliyoyafanya meko na tunaona wanayoyafanya sasa waelewe sisi Watanzania sasa sio wajinga tena tuna akili na tunauelewa mkubwa sana tukutane 2025.
  5. mbavu nene

    Huwezi fananisha Nyerere na Magufuli hata kidogo

    Nyerere alifanya haya yote kwa miaka mingapi madarakani? Na magufuli kafanya aliyoyafanya kwa muda gani acha upumbavu kakojoe ulale.
  6. mbavu nene

    Kati ya hawa mmojawapo anaweza kuwa Rais 2025

    Huseni Ali Mwinyi
  7. mbavu nene

    Benjamin William Mkapa Rais aliyeamini katika Ujenzi wa mifumo

    Mkapa ndiye aliyechangia kwa kiasi kikubwa rasilimali za nchi kuibiwa na mabepali
  8. mbavu nene

    GE2020 Ziara ya Kheri Arusha: Mtia nia ubunge awajaza mapesa wajumbe

    Kiukweli CCM wakimpitisha Gambo wana ccm wengi watapiga kura makusudi kwa upinzani huyu jamaa hakubaliki kabisa hapa Arusha hana mvuto si chamani mpaka uraiani
Back
Top Bottom