Mimi hapa Malamba mawili sijapata maji bombani kwangu tangu mwaka 2023 mwezi wa pili,
Kiukweli tunateseka sana.
Kibaya zaidi kumekuwa na majibu ya kiss asa yasiyokuwa na mwisho kutoka Kwa Meneja na viongozi wa idara ya maji pale Kibamba.
Inashangaza, Malamba mawili tunakosa kabisa maji, lakini...
Pale Muhimbili manyanyaso ni mengi sana, gari hazifiki Kwa wakati, unasimama kituoni hata lisaa limoja. Majibu ya wakata tiketi hauna chenji kamili hupati huduma, lugja za hovyo na ubabe. Kuna dereva mmoja anatukana mpk abiria.
Watu wanajazana mpk unaogopa, sijui tunaelekea wapi? Madereva...
NHIF wamekuwa wakitoza tsh 20000 kubadili vitambulisho ambavyo kimsingi walipaswa kuvitoa bure au kwa gharama nafuu zaidi tofauti na ulivyo Sasa.
Umeibuka mtindo wa kufungiwa kadi bila taarifa kwa mteja, kisa kadi Ina uchakavu.
Kwa gharama ya 20000 kwa kadi moja, Ina maana kwa familia ya...
Licha ya kutumia gharama kubwa za kuvuta maji majumbani mwetu, WAKAZI WA MALAMBA MAWILI (zone 10) wamekuwa wakiishi kwenye mateso makubwa sana ya maji. Huduma hiyo haipatikani kabisa, wakati mwingine zaidi ya mwezi maji Huwa hayatoki. Unapowaailiana na injia wa maji na watendaji wamekuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.