Ndungu yangu ; wewe ni umtanzania nafikili umefanya nini kwa taifa lako, unafanya nini kutumia utajiri wa Tanzania maana tunakila aina ya utajiri upo kujiendeleza mwenyewe na familia yako inayokuzunguka ; yaani wewe mwenyewe umetumia vipi utajiri huu wa Tanzania kujiendeleza ; unapata ujasiri...
viumbe wabaya sana, wameshilikiana na vibaraka miongoni mwetu, wameua sana watu wa Tarime , bora madini yachimbwe na wachimbaji wadogo wazawa 4% ndiyo nini, vibaraka walioshilikiana nao ilitakiwa wapigwe hazarani
Mtu hapimwi kwa ukubwa wa Mwili, bali akili, sawa sawa na nchi, hakuna kuleta kisingizio cha ukubwa, tuchape kazi , Rwanda wanaendelea siyo kuwa ni ndogo ila jamaa wameamua kuchapa kazi, hakuna usungura sungura
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.