Rwandan bid for Kagame third term undermines democracy: EU

Rwandan bid for Kagame third term undermines democracy: EU

by the UN! unbelievable isn't? na bado, struggle continues...
UN? Teh teh ... Shirika au taasisi gani ya UN? Unaweza kutupatia link yoyote ya UN yenye press release hiyo apart from wack ass blogs zisizo ma mbele wala nyuma?
 
Named cleanest city in Africa by who?[/Qy
You just try to google "the cleanest city in Africa" then follow whatever link you will find, after that you can prove otherwise.
UN hawajatoa tamko hilo, hakuna kitu kama hicho, hizo ni propaganda ambazo ni watu kama wewe ndio huziamini na kutumia kama reference.
 
UN? Teh teh ... Shirika au taasisi gani ya UN? Unaweza kutupatia link yoyote ya UN yenye press release hiyo apart from wack ass blogs zisizo ma mbele wala nyuma?
kwa hiyo wewe hadi kitu kiandikwe na BBC, Reuters, CNN... ndio uamini? hata wao huwa wanachomekea... huo ni upumbavu ndugu yangu! Rwanda hata sio mbali, kwa nini usije huku uangalie mwenyewe?
 
kwa hiyo wewe hadi kitu kiandikwe na BBC, Reuters, CNN... ndio uamini? hata wao huwa wanachomekea... huo ni upumbavu ndugu yangu! Rwanda hata sio mbali, kwa nini usije huku uangalie mwenyewe?
Usiyeyushe ... Onyesha link yeyote ya UN na umtaje spokesperson yoyote wa UN na urupe tarehe ya hiyo statement humuhumu Leo, sasa hivi.
Haijali shirika gani LA habari Ila tujue kama ni Ban ki moon au nani kutoka YN alitangaza hilo.
Medium mean a platform where something is done or transmitted, now what has been transmitted and from who, is very important to me.
Plz tell me who, from UN said that.
 
Usiyeyushe ... Onyesha link yeyote ya UN na umtaje spokesperson yoyote wa UN na urupe tarehe ya hiyo statement humuhumu Leo, sasa hivi.
Haijali shirika gani LA habari Ila tujue kama ni Ban ki moon au nani kutoka YN alitangaza hilo.
Medium mean a platform where something is done or transmitted, now what has been transmitted and from who, is very important to me.
Plz tell me who, from UN said that.

UN habitat awarded Kigali the Scroll of Honour Award:
Source:http://mirror.unhabitat.org/downloads/docs/6586_9299_Kigali.WHD2008.pdf
 
Hii ya Kagame haiwezi kutokea Tanzania hata kama Magufuli ana uwezo wa kutembea juu ya maji. Upinzani (vyama) Tanzania umeshamiri vizuri sana na hawawezi kamwe kuruhusu huu upuuzi wa Rwanda.

Kama Magufuli akiendelea hivi mpaka 2025, atakuwa ameweka mikakati (institutional structures) itakayo hakikisha uongozi bora haumtegemei raisi pekee. Pia raisi mpya atakaechaguliwa atajihisi amepwaya kama hatampiku Magufuli. Sidhani kama tutarudi nyuma tena.

Achaneni na Rwanda. Wakitaka kuifanya Rwanda iwe Falme (Kingdom) na Kagame awe mfalme wa milele yeye pamoja na ukoo wake, let it be. Kama vyama vya upinzani vya Rwanda wote wamepiga kura kumruhusu Kagame muhula wa tatu (haiingii akilini mwangu), basi wana haki ya kutawaliwa na mfalme Kagame wa maisha.

Nchi ni ya wananchi na sio ya vyama vya siasa
 
UN hawajatoa tamko hilo, hakuna kitu kama hicho, hizo ni propaganda ambazo ni watu kama wewe ndio huziamini na kutumia kama reference.

Km ulikuwa umenielewa vzr ilibidi useme mbadala wake yaan jiji safi zaidi ktk Africa. Afu sio kila taarifa lzma uitoe UN tambua kwamba hao UN wana maraisi wao na nchi zao (mashamba ya bibi) ambazo hata zikiboronga wao wanasifia tu.
Lkn #talkandtalk katoa link inayohusu usafi na mipangilio mingine ya kigali so follow that link. And by the way sitak kuisifia saana Kigali coz najua ktk hawamu hii ya tano hata Dsm itakuwa mfano wa kuigwa ktk usafi
 
mh! so what do you mean? we hate progress? that is how it sounds to me! your hatred is beyond imagination, you want us to hate Kagame because he is performing excellently? I don't think so, we are not that stupid jMali! we have to utilize wisely what God has given us freely! we take a note but we really don't pay much attention on what EU/Americans say about Rwanda, Rwanda is for Rwandans!

Why don't you ask those relatives of yours who are illegal migrants in Tanzania? FACT: there are more Rwandan refugees under Kagame than they were under Habyarimana the so called 'genocidaire'.
 
Are you insinuating that Magufuli is a dictator? Kitendo cha kuwaambia kuwa hela za sherehe za uhuru zitumike kwa miradi ya maendeleo.

Nenda kozi ya kingereza bwana nimechoka kukutafsiria kila siku.
 
In a repressive environment like Rwanda? Ok, before you provide us with those "international recognized metrics" then go ahead and tell us who are those 10 people who dare to challenge the petition signed by approximately 4 MILLION Rwandans or you mean Green party? so do they have only 10 members? if so, why should it be called an opposition party at all? at one point you need to get serious man! FDU is just like the Kardashians, a very famous name but what they do to earn that reputation might supprise you! FDU-Inkingi? what about FDU-Imberakuri or FDU-Imbonerakure? you people need to learn how to behave and abandon hate before we start taking you serious!

what is your point? you are all over the place
 
well, i was responding in general terms, that democracy is government by people for the people.

there will always be two sides to the story, your explanations can go both ways, if i ask you what is the exactly number of people who oppose Kagame presidency i doubt you will be able to give exact number.

sometimes people change their minds, in Tanzania right now there is a talk for JPM to extend his presidency, constitutions get revised 'sometimes' by the same people who wrote them in the first place. so you shouldnt be amazed by the people of Rwanda for changing their minds.

1. I won't be able to give you the exact number of people who are opposing Kagame just like nobody would be able to give you the number of people who were opposed to Iddi Amin or Mobutu. Do that failure to give exact number make you agree that Kagame is opposed by only 10 people? c'mon man!
2. Any proof on JPM? have you heard any talk by any political party to front such a bill? Where exactly have you heard this 'talk'?
3. The people of Rwanda have not changed their minds. If anything its Kagame that has changed his. He had said previously in numerous interviews that he will respect the constitution, he will respect term limits, in fact he used to sound very angry at western journalists when they asked him whether he will step down, one time he said "why don't you ask Obama that question?". Later on he did a 360 and asked RPF to 'do a research' on what 'people want', the result is what we are seeing today. Its Kagame who is a flip flopper not the hapless Rwandans.
 
Nchi ni ya wananchi na sio ya vyama vya siasa

Wananchi huru wa nchi moja wakikubaliana na fikra za mtu mmoja basi hapo kuna kasoro. No leader can be that perfect.

Ndio maana tunakuwa na upinzani ili kutoa mwanya kwa watu wenye fikra mbadala. Watu hawajiungi vyama vya upinzani kwa ushabiki tu bali ni kwa ajili ya kutoa changamoto katika mtazamo/mustakabali wa nchi.
 
Malkia ataachia ngazi lini?
Yeye ha undermine democracy?
 
Tufanye yetu, ya wanyarwanda mambo yao ya ndani waachiwe Wanyarwanda wenyewe, hatima ya Wanyarwanda ipo mikononi mwao wenyewe.
 
It is strange to have a constitution that set term limits, but that very same constitution gives exception to one Individual. This is a Joke

Firstly what if later after Kagame there happen leaders in Rwanda who are a lot better than him, and if they desire to continue to lead past these terms, wont the constitution be changed again to let them have a free ride?

If Kagame perfoms better during his third term in office, and people still want him, But the Constitution says No, Who can can stop him to continue to lead after 2024, Will the constitution be amended to accomodate his ambition?

Unfortunately Kagame is setting a very bad precedent for what he has done. After him certainly at some point in time there will emerge some good leaders, even more capable than him, people will love them, and they will use an excuse of the precedent set by Kagame to molest the constitution.

I urge the Rwandans to say no to Kagame on this, It seems that the Rwandans perhaps dont want to burdern themselves with change, But they are puting their grand children in trouble for fear of change!.

Expect to get a president for Life in the future, because " People want him to stay"
 
Wananchi huru wa nchi moja wakikubaliana na fikra za mtu mmoja basi hapo kuna kasoro. No leader can be that perfect.

Ndio maana tunakuwa na upinzani ili kutoa mwanya kwa watu wenye fikra mbadala. Watu hawajiungi vyama vya upinzani kwa ushabiki tu bali ni kwa ajili ya kutoa changamoto katika mtazamo/mustakabali wa nchi.

hiyo yote ni kwa ajiri ya maendeleo sio fashion, shida yetu ni maendeleo na kuridhika nayo, haijarishi anatuongoza nani kwa muda gani, sisi wasukuma tumeongozwa na mtemi kwa miongo kibao, wahehe walitawaliwa na ukoo wa mkwawa kwa miongo mingi sana, usifikiri waingereza hawana akili kuongozwa na ukoo mmoja bali wana akili na wameridhika na utawala
 
Back
Top Bottom