Recent content by mbaruku mkali

  1. mbaruku mkali

    JamiiForums Tanzania Kweli Tanzania inahitaji Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya?

    Hata Mimi sioni kazi ya wakuu wa wilaya na wakuu wa mikoa
  2. mbaruku mkali

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli atangaza Baraza Jipya la Mawaziri - 10 Disemba 2015

    Anatangaza Chanel gani
  3. mbaruku mkali

    JamiiForums Tanzania Gazeti la Mwanahalisi linatafuta cha kusema pindi baraza la Mawaziri litakapotangazwa

    Kama unaona mwanahalisi limefanya makosa kutoa hayo majina 8 ya mawaziri waliovuja basi wachukulie hatua sio unaongea tu humu kwenye mitandao na unatakiwa ukumbuke lile ni gazeti bingwa la habari za kiuvhingizi serikali wenyewe waliligungia wakashindwa kesi sasa kubenea anaidai serikali bilioni...
  4. mbaruku mkali

    JamiiForums Tanzania Raza: Magufuli apewe uenyekiti CCM

    Huyo sio kada kada gani hajui kanuni za chama chake Kanuni inasema kila raisi atakaeingia madarakani atamuachia mwenzake alietoka uenyekiti ndani ya miaka 2 halafu atachukua mwenzake aliepo madarakani labda wavunje kanuni na wavunje kwa maslahi ya nani awake wazi huyo kada
  5. mbaruku mkali

    JamiiForums Tanzania TAKUKURU ina kazi gani kama Rais na Waziri Mkuu ndio wanaogundua rushwa?

    Tatizo kubwa katika nchi yetu kila kitu tunaingiza kwenye siasa kwa mfano mwana sheria mkuu anachaguliwa na Rais hii ni siasa jaji mkuu anachaguliwa na rais hii ni siasa mkurugenzi mkuu tume ya Uchaguzi anachagiliwa na rais hii ni siasa mkurugenzi Takukuru anachaguliwa na rais hii ni siasa sasa...
  6. mbaruku mkali

    JamiiForums Tanzania Nani kaifuta Sheria ya uhujumu uchumi iliyompa umaarufu hayati Sokoine?

    azimio LA Arusha lomevunjwa na Ally Hassani Mwinyi
  7. mbaruku mkali

    JamiiForums Tanzania SUMATRA, Makumbusho kwenda Tegeta, nauli zimepandishwa kiholela

    Wanatoa ticket kama wanatoa ticket itakuwa ni nauli halali
  8. mbaruku mkali

    JamiiForums Tanzania Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    Mbona mm nimruziwa remote tsh 20000 hizo za tsh 5000 ni zipi
  9. mbaruku mkali

    JamiiForums Tanzania "Magufuli Style" yamtokea Puani Bwana Harusi Mtarajiwa

    Big up bwana haruzi
  10. mbaruku mkali

    JamiiForums Tanzania Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015: Kwa mkakati huu wa Serikali, Watumiaji wa Mitandao tutapona?

    Sheria hii imeundwa ili kudidimiza upinzani watu wasiwe na Uhuru wa maoni wa kuikosoa saeikali pale inapofanya maovu
  11. mbaruku mkali

    JamiiForums Tanzania Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015: Kwa mkakati huu wa Serikali, Watumiaji wa Mitandao tutapona?

    Sheri zipo ila hazifuatwi na viongozi wetu hawana ujasiri wa kufuatilia hizi kwsi za madawa ya kulevya maana nakumbuk a baba Rizz aliwahi kusema orodha UA wafanyabiasha wa madawa ya kulevya anayo lakini tunashangaa mpaka anaondoka hajawataja
  12. mbaruku mkali

    JamiiForums Tanzania Mahakama Kuu yampa ushindi Baba wa Mawazo, Mawazo kuagwa na kuzikwa kwa heshima zote

    Tatizo lilipo kwa serikali yetu wakati mwingine wanapenda kuweka sheria zilizopo kwenye mifuko yao kisa mihemko na kulinda maslahi ya chama kuliko ya serikali
Back
Top Bottom