Sasa na Hawa vodashop morombo ni waizi na wanabaraka zote kutoka vodacom ? TCRA angalieni wananchi tunaibiwa na Hawa vijana wanao fanya kazi morombo vodashop.
Kuna vijana wanao fanya kazi vodashop morombo ni waizi wa kutupwa. Unatoa laki moja wanakupa noti tisa za elfu kumi na noti moja ya elfu mbili. Unapo hesabu unawaambia mbona umeniwekea noti ya elfu mbili na si elfu kumi, watakwambia sisi si wajinga tumekupa hela zako kamili.
Pia kuna watu...
Makahaba huwa hayajui yapo kanisani au mskitini, ni kwaresma au ramadhani. Yenyeewe yanataka kukodisha miili yao tu. Tena siku hizi hayana aibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.