Ndgu hizo media Kama Dw ,Bbc, VOA nk ni za umma( public ) hazifanyi biashara ya matangazo yoyote kwa asilimia 100 zinaendeshwa na serikali zao husika mambo ya mishahara na gharama zingine zote huwa zinalipwa na serikali zao kwhyo hawana matangazo kabisa hata TBC ilitakiwa isiwe na matangazo kwa...
Wana jamvi lazima mujuwe utofauti wa wimbo wa taifa Yani mungu ibariki Africa /mungu ibariki Tanzania hiyo ni dua/ maombi maalum ya kuliombea taifa ndiomaa anatajwa Mungu.ingqwa serikali haiamini mungu lakini wanao ongoza na wanao ongozwa na hiyo serikali wanaamini mungu ,na ndiomaa mwisho wa...
Mm ni mmoja wa hilo kabila lugha tunayo ila wengi hatujui kuongea na imeathiriwa Sana na kiswahili huwezi kuongea mananeno10 bila kutia neno la kiswahili na lugha hii kwa Sasa au tangu mm nakuwa tumezowea kuona na kuwasikia wazee ndio wakiongea peke yao Yani ma Bibi na mababu kwhyo hiki kizazi...
Mbona hiyo Sheria yenuewe hujaitaja kwa jina ni Sheria gani na inaitwaje ? Umetaja miaka tu hapo ,sitetei ushoga ila sikubaliani na wwe unaposema Fatma hajui Sheria hapo umepotoka Sana tu Fatma ni rais wa Wana Sheria wote Tz
Uzi mzuri Sana natamani uendelee ,kiufupi huyu mtoto hana tofauti hata kidgo na yule chizi wa Korea kaskazini ,ila wamarekani ndio waliempandikiza pale baada ya kumwandaa kwa mda mrefu Sasa ameanza kuwaangusha mapema kabisa
Mtoa mada umeongea point kwa asilimia 100 ,anaeona mbali atakuunga mkono ila asieona mbali ata kukosoa ,ila kwa upande wangu naunga mkono hoja kwa asilimia 101
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati ana mbaka hdi anapata mimba wtu wengine walikiwa wapi ? Kwa maoni yangu naona walikubaliana na kwakuwa yupo above 18yr na sio mwanafunzi basi hakuna kosa la jinai hapo kwani hata mlemavu anayo haki ya kushiriki tendo la ndoa pia
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mujibu wa dini ya kiislamu Mbwa sio haramu ila pua yake ndio haramu iwapo atakunusa au kukugusa na pua ila sehemu zingine zote za mwili wake sio haramu kwhyo sisi waislamu tunakatazwa kunuswa au kuguswa na pua ya mbwa ila hatukatazwi kufuga mbwa ,waislamu wengi duniani wana fuga mbwa ,na wwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.