MAGO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,256
- 2,975
Naona kuna zoezi la Makonda la watu kutaja wale wanaojihusisha na ushoga ila cha ajabu wote wanaotajwa ni wale wafanywaji.
Ushoga hujumuisha mfanywa na mfanya wote kundi moja ili kutokuonea upande mmoja inapaswa na wafanyaji nao watajwe.. Hapa sasa ndipo habari itakuwa imebalance
Ushoga hujumuisha mfanywa na mfanya wote kundi moja ili kutokuonea upande mmoja inapaswa na wafanyaji nao watajwe.. Hapa sasa ndipo habari itakuwa imebalance