Hakika hii naunga mkono kwakweli upinzani na maana ya upinzani kwa taifa letu ni tofauti wanaombea watanzania tuteseke ili watafute kiki hii haijakaa vyema
Hahahahha huo ndio wanaosema uathilika wa siasa!
Hugo kushika nchi labda Kenya
Tanzania hawezi
Pia hebu
Tujalibu kutafuta mpinzani wa kushindana na Ccm
Ccm ni taasisi
Chadema ni saccos
Wapi na wapi
Kaka Yangu nchemba mwenye kusikia na asikie na mwenye kujifanya nunda na aendelee na ununda wake
Umeongea kwa hisia sana katika andiko lako
Lakini kifupi
Wanasiasa wametufikisha hapa tulipo
Na pia nyie viongozi mmetoa Uhuru wa habari mpaka inakuwa ni takataka!
Jaribuni sana kutufanya sisi...
luckman
Nakuunga mkono kaka kwa asilimia kubwa
Shida kuu hapa tunajaa siasa sana
Hata kwenye mambo yasiyostahili ushabiki wa vyama!
Lakini hebu twende tu IPO siku watakuja kuelewa tu!
Na kuhusu lema huyu alikuwa anatafuta kiki na sasa yamemfika!
Alizoea kumuonea jk
Na kusema anacheka Cheka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.