Recent content by mbalizi1

  1. mbalizi1

    Askofu Mwanamapinduzi adaiwa kukimbia nchi

    Ndo njia aliyojichagulia
  2. mbalizi1

    Nini kimelikumba Jeshi letu? Imekuwaje linatumika kwa ajili ya kampeni za CCM?

    Kwamba unashangaa jeshi kutumika kwenye mambo ya sisiemu!!? Labda hujakulia Tanzania
  3. mbalizi1

    Mrejesho: Baada ya kumpa kibano cha maana amekubali kuwa walishaga mnanilii tokea sekondari😥

    Kuwa na mtoto au ndugu akawa anafilwa inafedhehesha sana. Kuna mzee mmoja ni jirani yangu ,kijana wake ni shoga ~ huyu mzee anadhoofika sana kutokana na kijana wake kuwa shoga. Pole sana
  4. mbalizi1

    Mimi ni mwanaume ninayeonewa na mke wangu, Dkt. Gwajma nisaidie

    Achana nae siyo mama yako aliyekuzaa. Mwanamke wa kunisumbua kichwa Duniani hapa ni mama yangu aliyenizaa ,achana na huyo umekutana naye ukubwani. Mwanamke anaenda kutombwar na wanaume wengine bado unamng'ng'ania , hakutaki achana naye
  5. mbalizi1

    Mahojiano ya Rostam na Tido Mhando ni maigizo kwa 100% (staged interview)

    Kuwa masikini sio uzalendo. Umasikini sio sifa ya kujivunia
  6. mbalizi1

    Mimi ni mwanaume ninayeonewa na mke wangu, Dkt. Gwajma nisaidie

    Sio mama yako mzazi huyo, si uachane naye!!
  7. mbalizi1

    Ninaishi na maumivu

    Moja ya mambo yanayoumiza sana nafsi ni kifo. Pole sana ( "bro" )
  8. mbalizi1

    Share short sad story iliyowahi kuutokea au uliyoshuhudia kwa rafiki, jirani au ndugu

    Makango ni nini cocastic ? Naomba nipe elimu juu ya hilo jambo
  9. mbalizi1

    Oktoba tunatiki!!

    Vyovyote sawa tu
  10. mbalizi1

    China & Ethiopia imetaja idadi ya watu waliofariki wakati wa Ujenzi wa bwawa la Umeme & reli ya Tazara. Mbona Tanzania hatutaji?

    Mnazungumzia bwawa hili hili ambalo tulimtukana Magu Kila aina ya matusi kwa kuanzisha ujenzi wake?
Back
Top Bottom