Binafsi yangu mimi ningekaa kimya tu maake huyo keshalishwa nyama ya maini iliyovundikwa kwenye uchi wa huyo mshangazi wake kwa takribani mwezi na majuma mawili kisha ikachomolewa huko ikakaangwa vilivyo huku ikichanganywa na dawa akaandaliwa na chapati na chai ya rangi
Unaogopa nini? Ni sawa na kusema kwavile fulani kafa kwahiyo wewe hufanyi kazi wala maendeleo yyt.
Dunia sio paradiso halafu ukitafakari sana huoni sababu za maana sana za mtu kufa akiwa na afya njema kiasi cha kusema ajivunie kuwa kafa akiwa na afya njema.
Akikususia we ichukulie hiyo kukususia kwake kama aina ya style mpya unaigeuza inakuwa fursa 😀 😀, na ukitaka kuipatia vizuri kama kuna mwanga basi mfumbie macho kisha vuta taswira ya mwanamama anayekukosha~ga piga taQo zako kadhaa unakojoa unamshukuru unajiswafi unavuta shuka usingizi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.