Nchi hii inahitaji viongozi ambao ni "proactive" na sio "reactive"!! Alikua wapi siku zote hizo wakati madereva wanatoa madai yao ya msingi??! Alikua anasubiri aone kama watagoma kweli eti??!! How pathetic??!!
Nchi hii inahitaji viongozi ambao ni "proactive" na sio "reactive"!! Alikua wapi siku zote hizo wakati madereva wanatoa madai yao ya msingi??! Alikua anasubiri aone kama watagoma kweli eti??!! How pathetic??!!
Mkubwa madereva hawadai mikataba ya kazi kutoka Serikalini. Wanadai mikataba ya kazi kutoka kwa waajiri wao yaani wamiliki wa vyombo vya usafiri. Wanadai mikataba itakayoweka wazi maslahi yao kama madereva. Kwa mfano masuala ya kwenda kusoma, Je, anapoenda kusoma ajira yake bado ataikuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.