Recent content by Mbagamoyo

  1. M

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli: Kawafundishe Mabalozi wenzako, Wajifunze namna ya kuishi na nchi ya Tanzania ambayo hababaishwi

    "Very" and "too" are both adverbs. They come before an adjective. The basicdifference is that "very" emphasizes the word that follows it. "Too" before a word means there is more than what is wanted.Apr 10, 2020 learningenglish.voanews.com › ... Very and Too - VOA Learning English
  2. M

    JamiiForums Tanzania Serikali isiwaache Wananchi katika mataa kwenye suala la Corona

    Du Pole sana
  3. M

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli afanya Ziara ya Kikazi Kagera, ahimiza kilimo cha kila Mazao

    Jamani, mbona Wakati wa Kampeni walimweleza? Au inabidi awape ahadi tena
  4. M

    JamiiForums Tanzania La Bandari ya Bagamoyo kama ni kweli basi ni ukombozi

    2015_2020 tumejenga viwanda 8000 na kitu Sasa itakuwa hivo 700 tu.
  5. M

    JamiiForums Tanzania La Bandari ya Bagamoyo kama ni kweli basi ni ukombozi

    Asalam ndungu zangu! Nimepitia mitandao naona suala la Bandari ya Bagamoyo limeibuka upya. Limeibuka kwamba limepata ufunmbuzi na litatimia. Faida na hasara zake. A) Faida 1. Uhamishaji wa teknolojia kwa haraka. Tuliambiwa Kuna viwanda takribani 700 kwenye ukanda wa Bandari na maeneo jirani...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Ni wakati sasa tuwe na Hospitali-Tiba za Vyuo Vikuu

    Naona ni Kama katawi tu ka MNH
  7. M

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Afya, nenda tena Hospitali ya Mwananyamala

    Huyo anaishi enzi ya zama za mawe za mwanzo. Kazi ya wito ndo kazi gani? Na kazi gani sio ya wito?
  8. M

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Afya, nenda tena Hospitali ya Mwananyamala

    Nimevutiwa na hoja yako
  9. M

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Afya, nenda tena Hospitali ya Mwananyamala

    Kwahiyo unaona akirudi ndo atamaliza tatizo. Tupunguze mihemko. Mbona hatujiulizi kwanini wahumu wa Afya wamefikia hapo? Mnajua nao Wana familia, wanashida zao, wanamatarajio yao? Sasa basi ili watibu vema basi umma uwape hayo
  10. M

    JamiiForums Tanzania Ni wakati sasa tuwe na Hospitali-Tiba za Vyuo Vikuu

    Ndo hasa ninachojiuliza, na Kuna vyuo utasikia mahafali ya 30. Yaani kimeshaliza wataalam tiba mara 30.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Zitto: Taarifa ya TRA kukusanya trilioni 2 ni ya kubumba

    Ila siku hizi ZZK yuko Serikalini, Kwani hawajadiliani haya huko
  12. M

    JamiiForums Tanzania Ni wakati sasa tuwe na Hospitali-Tiba za Vyuo Vikuu

    Heri ya Mwaka 2021! Nimetafakari mengi juu ya mwelekeo kiafya katika bara la Africa na changamoto za tafiti pamoja utegemezi wetu kwenye tafiti na ufumbuzi wa matatizo ya Kiafya nje ya Africa. Maradhi ndio chanzo cha mfumo tiba Africa. Wakati kwingineko Afya Bora ndio chanzo cha mifumo yao ya...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Asante Magufuli. Tumesikia Barabara ya Bagamoyo Mlandizi inajengwa

    Duh.... Mnatucheka sana mkija huku nyie. Kibera vs Bagamoyo hahahaaaa
  14. M

    JamiiForums Tanzania Asante Magufuli. Tumesikia Barabara ya Bagamoyo Mlandizi inajengwa

    Kumshukuru anaetenda ni uungwana
Back
Top Bottom