It's like Rich people are aware of this. Ila sisi makapuku tunatumiaga tu akili za kuambiwa kama nyumbu. Leo nmepishana na gar ilikuwa ni kama mtu na familia yake. Wote wamevaa barakoa kwenye gari. Na wamejifungia vioo full ac.

Nikajiuliza sasa hapa nani ni mpumbavu...sisi tunaosubiri Magufuli atuambie tuvae au tusivae barakoa hao hao waliojiamlia kuvaa na kufata taratibu kujilinda na COVID.

Swali lingine nimejiuliza.
Hivi inaicost serikali kiasi gani kuwapa awareness wananchi juu ya kujikinga na COVID-19?
 
Itc like Rich people are aware of this. Ila sisi makapuku tunatumiaga tu akili za kuambiwa kama nyumbu. Leo nmepishana na gar ilikuwa ni kama mtu na familia yake. Wote wamevaa barakoa kwenye gari. Na wamejifungia vioo full ac. Nikajiuliza sasa hapa nani ni mpumbavu...sisi tunaosubiri magufuli atuambie tuvae au tusivae barakoa ao hao waliojiamlia kuvaa na kufata taratibu kujilinda na covid.

Swali lingine nimejiuliza.
Hivi inaicost serikal kiasi gani kuwapa awateness wananch juu ya kujikinga na covid 19?
Awareness kama tunayo inatosha ss kujikinga wenyewe. Serikali haijakataza raia kujikinga na covid.

Wakati mwingine ni bora kuwe hivi, Kwann tunataka panic irudi tena? Watu waanze kufa tena? Manesi wetu wanajulikana, wakishapanic nani atatoa huduma kwa wenye pumu, kifua kikuu, nimonia, n.k? Yaani serikali ikitangaza corona ipo tegemea matatizo zaidi ya mafanikio.
Kwa hali ilivyokuwa kipindi cha corona mi naona Kila mtu ajikinge, na kusali bila kusubiri tamko la serikali.
 
Corona ipo chukua tahadhali tuanze kujifukiza ingawa sijathibitisha ila kuna mtu amefariki naambiwa alikuwa na dalili zote za Corona kitendo cha serikali kukaa kumya haimaanishi usichukue tahadhali
Mimi na wewe kwa sababu tuna kielimu kidogo tunaweza kuamini kuwa korona ipo
Ila kuna wale raia ambao uelewa wao wa masuala haya ni mdogo, tangu Magufuli atangaze Korona haipo TZ huwaambii kitu kuhusu korona, wanajua haipo tu!. Na bahati mbaya serikali iliamua makusudi kudiscourage njia za kujikinga na korona kama njia maalum ya kurudisha "ukawaida" (Normalcy), hilo ni kosa kubwa, ilitakiwa ihamasishe jitihada za kujikinga badala ya kuzipiga vijembe
 
Imeshangata family members au jirani zako wangapi?? Labda tuanzie hapo. Nadhani kila mtu aanzie kwa immediate family members na sio hadithi za sijui mtaani wanasema nini, kama mtaani ipo na familia zetu pia zipo huko huko mtaani so hawawezi ugua au kufa bila sisi kujua
Ingekuwa vizuri tungeangalia zile sehemu ambazo watu wengi hukutana mara kwa mara ndio tungechunguza hali ikoje ili tuweze kujua athari za corona,ila hii ya sijui watu wanasema lakini hapohapo wengine hawaoni inakuwa kama tunaishi nchi mbili tofauti.
 
Imeshangata family members au jirani zako wangapi?? Labda tuanzie hapo. Nadhani kila mtu aanzie kwa immediate family members na sio hadithi za sijui mtaani wanasema nini, kama mtaani ipo na familia zetu pia zipo huko huko mtaani so hawawezi ugua au kufa bila sisi kujua
Wewe unaepinga upo kila mtaa, Kijiji na wilaya?

Watu Kama ninyi, ndiyo mnasababishaga watu kupigwa burn na mods maana unapiga tu shetani nini?
 
Dalili za corona hazifanani na magonjwa mengine yani hakuna magonjwa ambayo yana dalili sawa na corona?
Ninapowapendea WaTZ ni hapa tu, ubishi na ukweli anaujua!!

Tanzania si kisiwa kwamba usiingie, kasema alikuwa na dalili kama....!! Mtu anauliza hakuna magonjwa mengine!! 😀😀😀😀
 
Itc like Rich people are aware of this. Ila sisi makapuku tunatumiaga tu akili za kuambiwa kama nyumbu. Leo nmepishana na gar ilikuwa ni kama mtu na familia yake. Wote wamevaa barakoa kwenye gari. Na wamejifungia vioo full ac. Nikajiuliza sasa hapa nani ni mpumbavu...sisi tunaosubiri magufuli atuambie tuvae au tusivae barakoa ao hao waliojiamlia kuvaa na kufata taratibu kujilinda na covid.

Swali lingine nimejiuliza.
Hivi inaicost serikal kiasi gani kuwapa awateness wananch juu ya kujikinga na covid 19?
Wanabahati kwakuwa walikuwa ndani ya gari.
Wangekuwa hadharani, muda huu wangekuwa rumande, WANASABABISHA TAHARUKI KWA WATANZANIA
 
Itc like Rich people are aware of this. Ila sisi makapuku tunatumiaga tu akili za kuambiwa kama nyumbu. Leo nmepishana na gar ilikuwa ni kama mtu na familia yake. Wote wamevaa barakoa kwenye gari. Na wamejifungia vioo full ac. Nikajiuliza sasa hapa nani ni mpumbavu...sisi tunaosubiri magufuli atuambie tuvae au tusivae barakoa ao hao waliojiamlia kuvaa na kufata taratibu kujilinda na covid.

Swali lingine nimejiuliza.
Hivi inaicost serikal kiasi gani kuwapa awateness wananch juu ya kujikinga na covid 19?
Inacho cost ni watu kuwa na hofu kuanzia raia wa kawaida hadi wauguzi, angalia kipindi kile mwanzo ambapo serikali imetangaza kuna corona na inatoa taarifa za wagonjwa na vifo, ilikuwa inaonekana hali inazidi kuwa mbaya mpaka watu wakawa wanafikiria kuwa Jiwe anaweza kutumia nafasi hiyo kuahirisha uchaguzi. Ila baada ya kuwatoa watu hofu na hali ikabadilika kiasi hata wale ambao walikuwa wakipinga kwa Jiwe kutangaza kuwa hakuna corona nao sasa et wanasema ile awamu ya kwanza tulinusulika sijui corona haikuwa na athari sana.

Sasa mie najiuliza ilikuaje corona isiwe na athari sana hali ya kuwa hatukuwa tukifuata taratibu za kukabiliana na corona? Na tumejua kuwa haikuwa na athari au ilipungua bila kupima?
 
Ninapowapendea WaTZ ni hapa tu, ubishi na ukweli anaujua!!

Tanzania si kisiwa kwamba usiingie, kasema alikuwa na dalili kama....!! Mtu anauliza hakuna magonjwa mengine!!
Sio ubishi mkuu, ipo wazi kuwa yapo magonjwa ambayo hufanana dalili na corona ila kwa kuwa sasa kuna ugonjwa unaitwa corona basi tunasahau kuwa pia kuna magonjwa ambayo yapo kabla ya corona ambayo hufanana dalili na corona. Mtu hujui kafa kwa nini ila unakuja hapa unaeleza kuwa corona ipo halafu unamalizia kusema kuna mtu kafa alikuwa na dalili kama za corona. Sasa hapo una maana gani ?
 
We pumbaf kweli Kwanza tuambie wewe una Corona, au Kuna ndugu yako gani ana Corona tupe ushuhuda alafu uje umwage ushuzi wako Hapa...wewe ni dini gani jomba..huna Imani hata chembe hufai kuitwa Mtanzania..nenda kaishi na barakoa Ulaya kule naona unatuletea uzi wa kijinga..tumia na akili yako chukua tahadhari zinazoelezwa na Wizara ya afya...akili yako ina kazi gani, ya kun..,y..aa tu
 
Back
Top Bottom