Habari za jioni wakuu. Kati ya mbao , MDF na marine board ni ipi material imara kwenye kutengeneza kabati?
Nimeenda kwa mafundi nataka wqnitengeneze kabati ila kila mmoja ana material tofauti. Je kwa kabati la nguo material gani ni nzuri na imara?
Habari za Asubuhi wataalamu. Kuna mahali nilinunua simu used Sasa kwenda home nika reset Kila kitu gafla ikaniletea huu ujumbe
(33333) Unauthorized actions are detected on the device Accessing the device is blocked due to the security reason
Tatizo nini hapo wakuu? Na ninawezaje kutatua hili?
Hizi game za draw Mimi na stake 3000 Hadi 4000 Kwa lengo la kulenga ten Kwa siku. Hivyo siku ikiwa nzuri mpaka 30000 faida.
Hizi game ndio zinanipa pesa kuliko kubeti kawaida. Nafuata Hata mikek 6 mpaka 8 Kwa siku faida ipo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.